LAZARO Mamabosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Saalam amesema upigaji wa debe ni marufuku katika vituo vya daladala. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 22, 2019JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Halima Juma (23), Mkazi wa Chalinze kwa tuhuma za wizi wa fedha kupitia...
By Hamisi MgutaNovember 22, 2019HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imeweka mipango ya kuwa na huduma ya kupandikiza mbegu za ujauzito (mimba), ifikapo mwaka 2020. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....
By Hamisi MgutaNovember 19, 2019SERIKALI imeeleza kutoridhishwa na upandaji wa bei ya mahindi, ikieleza kutokuwepo kwa uhaba wa bidhaa hiyo nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea), Kauli...
By Danson KaijageNovember 19, 2019MWITA Waitara, Naibu Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ameagiza wanafunzi milioni 12 wa...
By Christina HauleNovember 18, 2019MWALIMU Mkuu Mstaafu wa Shule ya Msingi Bwigiri Wasioona, Chamwino mkoani Dodoma, Sylivavus Hosea ambaye ni mlemavu wa macho, amemwomba Rais John Magufuli kuangalia namna ya...
By Danson KaijageNovember 18, 2019WAJUMBE wa Kamati ya Ukimwi, Manispaa ya Morogoro, wanajipanga kutoa elimu ya ujasiriamali, kwa makundi mbalimbali wakiwemo vijana. Anaandika Christina Haule, Morogoro … (endelea)....
By Christina HauleNovember 14, 2019SERIKALI imesema, hakuna Mtanzania amabaye laini yake ya simu itafungwa kwasababu ya kutosajiliwa kwa alama za vidole. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo...
By Regina MkondeNovember 13, 2019SERIKALI imeeleza kuwa mfumuko wa bei wa taifa, umeongezeka kwa asilimia 0.2 kutoka asilimia 3.4 Septemba hadi asilimia 3.6 Oktoba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2019UVUNAJI misitu kwa njia endelevu nchini unapaswa kuendelezwa ili kunusuru uharibifu wa misitu uliopo unaosababisha upotevu wa hekta zaidi ya 469,000 kila mwaka...
By Christina HauleNovember 11, 2019EVO Morales, Rais wa Bolvia amejiuzulu ili kupunguza ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, yaliyomuweka madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Hamisi MgutaNovember 11, 2019WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya Linda ardhi...
By Christina HauleNovember 8, 2019MWALIMU Mohamed Utaly, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, amewataka wavunaji wa misitu, wabebaji na wauzaji wa mkaa kwenye pikipiki na fuso...
By Christina HauleNovember 6, 2019KITUO cha Radio cha Wasafi kimezidi kuibomoa East Afrika Radio baada ya kuwang’oa watangazaji wengine watatu ambao wamejiunga na radio yao hivi karibuni....
By Kelvin MwaipunguNovember 5, 2019SHEKANDI Ashery Mkombola (44), Mchungaji wa Kanisa la Aglikana, lililopo katika Kijiji cha Chinyika, Mpwapwa jijini Dodoma, na watu wengine 21 wanatuhumiwa kukutwa...
By Danson KaijageNovember 5, 2019WAKALA wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) umesema uko katika mkakati wa kuwafikia wajasiriamali, wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeNovember 2, 2019BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limeitaka serikali kuhakikisha wanahabari wanatekeleza majukumu yao kwa uhuru. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wito huo umetolewa na...
By Mwandishi WetuNovember 2, 2019SERIKALI wilayani Mvomero mkoani Morogoro imesema, itashughulikia mtu yeyote ambaye atathubutu kuwarejesha nyuma kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji ambayo wameshayasahau. Anaripoti Christina...
By Christina HauleNovember 1, 2019TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na wadau mbalimbali wa kupinga rushwa nchini imezindua...
By Hamisi MgutaNovember 1, 2019EWURA kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati na Madini iliandaa Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja (BPS) wa mafuta nchini, Utafiti wa UDSM, Aprili...
By Danson KaijageNovember 1, 2019MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema kijana aliyefahamika kwa jina moja la Shaban, atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo...
By Kelvin MwaipunguNovember 1, 2019BENEDICT Ishabakaki, Mwanasheria wa Idris Sultan, mshindi wa Shindano la Big Brother 2014, amesema mchekeshaji huyo anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza habari za...
By Mwandishi WetuNovember 1, 2019VITENDO vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi kulinganisha na vitendo vingine vya ukatili wa kijinsia wanaofanyiwa watoto. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Kwa mujibu wa takwimu za...
By Hamisi MgutaOctober 31, 2019WATU watatu wamekiri kuiba ndege watatu aina ya Tausi, wanaodaiwa kuwa mali ya serikali – Ikulu, wenye thamani ya Sh. 3,444,150. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2019WAANDISHI wa habari Afrika, wamehimizwa kuandika kwa usahihi habari zinazohusu bara hilo, ili kuweka kumbukumbu na marejeo kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2019MUFTI wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir ametoa msimamo kuhusu ndoa chini ya miaka 18, kwamba Uislam unatazamia baleghe. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza...
By Faki SosiOctober 29, 2019BAADHI ya wakazi wa kata ya Mkata, Handeni, mkoani Tanga, wamesema kuwa kitendo cha serikali kuwapelekea mradi wa maji safi kimewafanya kuondokana na...
By Danson KaijageOctober 28, 2019MAHAKAMA ya Mwanzo Mikongezi, Mvomero imelazimika kuahirisha kesi ya kujeruhi iliyowahusisha wafugaji watatu waliowajeruhi askari wanyamapori sehemu mbalimbali za miili yao baada ya...
By Christina HauleOctober 28, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hakufika kuhudhuria kongamano maalum la kuelekea uchaguzi, uchumi wa viwanda, amani, mahusiano na ustawi...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2019TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Akizungumza na wanahabari leo tarehe...
By Faki SosiOctober 28, 2019WATU nane wamefariki dunia wilayani Handeni mkoani Tanga, baada ya gari walilokuwa wanasafiria, kutumbukia mtoni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...
By Regina MkondeOctober 26, 2019KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita....
By Regina MkondeOctober 24, 2019MRADI wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utaweza kuwa endelevu endapo uhifadhi na utunzaji wa misitu hasa ya vijiji utakuwa endelevu na...
By Christina HauleOctober 22, 2019WAKULIMA nchini wametakiwa kutumia ardhi ndogo ya kilimo waliyonayo, kuzalisha kwa tija na kufikia malengo ya kilimo kinachohimili mabadiliko ya tabia nchi (CSA). Anaripoti...
By Christina HauleOctober 22, 2019SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limetangaza katizo la umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam....
By Mwandishi WetuOctober 21, 2019RAIS John Maguifuli amesema kuwa amebaini zaidi ya shilingi bilioni 1 walizodhulumiwa wananchi za mauzo ya korosho na vyama vya ushirika mkoani Mtwara....
By Faki SosiOctober 20, 2019WATUNZI wa Muziki wa Injili nchini wametakiwa kutunga nyimbo zenye ubunifu na maarifa kwa ajili ya utukufu wa Mungu badala ya kutunga nyimbo...
By Danson KaijageOctober 19, 2019ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametangaza kuwachapa bakora wanaume na wanawake wasiofunga ndoa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Chalamila ametangaza kampeni hiyo kufuatia mijadala...
By Regina MkondeOctober 18, 2019VIWANGO vikubwa vya kodi vimelalamikiwa katika mkutano wa Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia (AZAKI). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakizungumza katika nyakati tofauti kwenye...
By Regina MkondeOctober 14, 2019SERIKALI imeondoa zuio la wafanyabiashara kuendeleza maeneo yao yaliyopakana na barabara ya Kimara Mwisho hadi kwa Kichwa, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaOctober 13, 2019BARAZA la Habari Tanzania (MCT), leo tarehe 11 Oktoba 2019 limezindua rasmi usaili wa kuwania tuzo za umahiri wa uandishi wa habari (EJAT)...
By Kelvin MwaipunguOctober 11, 2019MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi...
By Kelvin MwaipunguOctober 11, 2019RAIS John Magufuli amemsifu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu kwamba ni miongoni mwa watu wema na wanamsaidia kuongoza nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019KUFUATIA mvua zinazoendelea kunyesha, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wakazi wa mkoa wake kuwa na tahadhari ili kuhepuka mafuriko....
By Kelvin MwaipunguOctober 9, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
By Mwandishi WetuOctober 7, 2019RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kuwaombea mawaziri, akisema kwamba wanafanyakazi kwa mateso makubwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Rais Magufuli ametoa wito huo leo tarehe...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019WAZAZI wenye watoto waliozaliwa na tatizo la mdomo wazi (Mdomo Sungura), wametakiwa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya upasuaji. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Akizungumza leo...
By Hamisi MgutaOctober 4, 2019TAASISI ya Kinamama na Kinababa kwa Mageuzi ya Jamii (MPFCR), imewataka vijana kuacha matumizi ya mihadarati kutokana na madhara yake. Anaripoti Kamote Martin …...
By Kelvin MwaipunguOctober 4, 2019ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amewarudisha nyumbani wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja, hadi tarehe...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019OFISI ya Msajili wa Jumuiya za Kijamii na Taasisi za Kidini, kufanya uhakiki wa taasisi na jumuiya hizo, zilizopo katika mikoa ya Kanda...
By Regina MkondeOctober 3, 2019