Friday , 29 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mambosasa akazia marufuku ya wapiga debe

LAZARO Mamabosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Saalam amesema upigaji wa debe ni marufuku katika vituo vya daladala. Anaripoti Hamis...

Habari Mchanganyiko

Tapeli wa fedha kupitia ATM akamatwa

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Halima Juma (23), Mkazi wa Chalinze kwa tuhuma za wizi wa fedha kupitia...

Habari Mchanganyiko

Muhimbili sasa kupandikiza ‘ujauzito’

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imeweka mipango ya kuwa na huduma ya kupandikiza mbegu za ujauzito (mimba), ifikapo mwaka 2020. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Hatuna uhaba wa mahindi – Serikali

SERIKALI imeeleza kutoridhishwa na upandaji wa bei ya mahindi, ikieleza kutokuwepo kwa uhaba wa bidhaa hiyo nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea),                                            Kauli...

Habari Mchanganyiko

Waitara aagiza wanafunzi kupanda miti Mil 12

MWITA Waitara, Naibu Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ameagiza wanafunzi milioni 12 wa...

Habari Mchanganyiko

Mlemavu wa macho ampa ushauri JPM 

MWALIMU Mkuu Mstaafu wa Shule ya Msingi Bwigiri Wasioona, Chamwino mkoani Dodoma, Sylivavus Hosea ambaye ni mlemavu wa macho, amemwomba Rais John Magufuli kuangalia namna ya...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Ukimwi Moro kutoa elimu ujasiriamali

WAJUMBE wa Kamati ya Ukimwi, Manispaa ya Morogoro, wanajipanga kutoa elimu ya ujasiriamali, kwa makundi mbalimbali wakiwemo vijana. Anaandika Christina Haule, Morogoro … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Serikali: Laini za simu hazitafungwa

SERIKALI imesema, hakuna Mtanzania amabaye laini yake ya simu itafungwa kwasababu ya kutosajiliwa kwa alama za vidole. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wapanda – Serikali

SERIKALI imeeleza kuwa mfumuko wa bei wa taifa, umeongezeka kwa asilimia 0.2 kutoka asilimia 3.4 Septemba hadi asilimia 3.6 Oktoba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Uvunaji misitu hovyo wapoteza hekta laki nne kwa mwaka

UVUNAJI misitu kwa njia endelevu nchini unapaswa kuendelezwa ili kunusuru uharibifu wa misitu uliopo unaosababisha upotevu wa hekta zaidi ya 469,000 kila mwaka...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wamng’oa Rais Bolvia

EVO Morales, Rais wa Bolvia amejiuzulu ili kupunguza ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, yaliyomuweka madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Ummy Mwalimu mgeni rasmi, kampeni ya linda ardhi ya mwanamke

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya Linda ardhi...

Habari Mchanganyiko

DC Mvomero awapa somo wavunaji misitu

MWALIMU Mohamed Utaly, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, amewataka wavunaji wa misitu, wabebaji na wauzaji wa mkaa kwenye pikipiki na fuso...

Habari Mchanganyiko

Sam Misago, Charles, Rwenyagira wamfuata Zembwela Wasafi Radio

KITUO cha Radio cha Wasafi kimezidi kuibomoa East Afrika Radio baada ya kuwang’oa watangazaji wengine watatu ambao wamejiunga na radio yao hivi karibuni....

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Anglikana atuhumiwa kusafirisha meno ya Tembo

SHEKANDI Ashery Mkombola (44), Mchungaji wa Kanisa la Aglikana, lililopo katika Kijiji cha Chinyika, Mpwapwa jijini Dodoma, na watu wengine 21 wanatuhumiwa kukutwa...

Habari Mchanganyiko

OSHA kuwafikia wajasiriamali katika mazingira hatarishi

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) umesema uko katika mkakati wa kuwafikia wajasiriamali, wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baraza la Habari: Wanahabari waachwe huru

BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limeitaka serikali kuhakikisha wanahabari wanatekeleza majukumu yao kwa uhuru. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wito huo umetolewa na...

Habari Mchanganyiko

Atakayewarudisha kwenye mapigano wakulima, wafugaji kukiona

SERIKALI wilayani Mvomero mkoani Morogoro imesema, itashughulikia mtu yeyote ambaye atathubutu kuwarejesha nyuma kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji ambayo wameshayasahau. Anaripoti Christina...

Habari Mchanganyiko

‘Utatu mtakatifu’ wa kupinga rushwa ya barabarani wazinduliwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na wadau mbalimbali wa kupinga rushwa nchini imezindua...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano wa EWURA, Wizara ya Madini waokoa Bil 121.6

EWURA kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati na Madini iliandaa Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja (BPS) wa mafuta nchini, Utafiti wa UDSM, Aprili...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aagiza aliyetishia kwa bastola, akamatwe

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema kijana aliyefahamika kwa jina moja la Shaban, atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Idris atuhumiwa kuchapisha habari za uongo, kujifanya rais

BENEDICT Ishabakaki, Mwanasheria wa Idris Sultan, mshindi wa Shindano la Big Brother 2014, amesema mchekeshaji huyo anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza habari za...

Habari Mchanganyiko

Takwimu ubakaji watoto zatisha

VITENDO vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi kulinganisha na vitendo vingine vya ukatili wa kijinsia wanaofanyiwa watoto. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Kwa mujibu wa takwimu za...

Habari Mchanganyiko

Wakiri kuiba Tausi Ikulu

WATU watatu wamekiri kuiba ndege watatu aina ya Tausi, wanaodaiwa kuwa mali ya serikali – Ikulu, wenye thamani ya Sh. 3,444,150. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Waandishi Afrika watakiwa kuweka kumbukumbu sahihi 

WAANDISHI wa habari Afrika, wamehimizwa kuandika kwa usahihi habari zinazohusu bara hilo, ili kuweka kumbukumbu na marejeo kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mufti Aboubakar atoa msimamo ndoa chini ya miaka 18 

MUFTI wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir ametoa msimamo kuhusu ndoa chini ya miaka 18, kwamba Uislam unatazamia baleghe. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Mkata wafurahia kukamilika mradi wa maji

BAADHI ya wakazi wa kata ya Mkata, Handeni, mkoani Tanga, wamesema kuwa kitendo cha serikali kuwapelekea mradi wa maji safi kimewafanya kuondokana na...

Habari Mchanganyiko

Maleria yaahirisha kesi ya wafugaji, askari

MAHAKAMA ya Mwanzo Mikongezi, Mvomero imelazimika kuahirisha kesi ya kujeruhi iliyowahusisha wafugaji watatu waliowajeruhi askari wanyamapori sehemu mbalimbali za miili yao baada ya...

Habari Mchanganyiko

Makonda ‘amkimbia’ Sheikh Alhad

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hakufika kuhudhuria kongamano maalum la kuelekea uchaguzi, uchumi wa viwanda, amani, mahusiano na ustawi...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaingia ‘Top Ten’ mazingira bora uwekezaji Afrika

TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Akizungumza na wanahabari leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Nane wafariki dunia gari likitumbukia mtoni Tanga

WATU nane wamefariki dunia wilayani Handeni mkoani Tanga, baada ya gari walilokuwa wanasafiria, kutumbukia mtoni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Habari Mchanganyiko

Kwanza TV yakata rufaa

KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita....

Habari Mchanganyiko

JNHPP yahamasisha uhifadhi misitu endelevu

MRADI wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utaweza kuwa endelevu endapo uhifadhi na utunzaji wa misitu hasa ya vijiji utakuwa endelevu na...

Habari Mchanganyiko

‘Limeni kilimo kinachohimili mabadiliko tabia ya nchi’

WAKULIMA nchini wametakiwa kutumia ardhi ndogo ya kilimo waliyonayo, kuzalisha kwa tija na kufikia malengo ya kilimo kinachohimili mabadiliko ya tabia nchi (CSA). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Umeme kukatika Dar es Salaam

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limetangaza katizo la umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam....

Habari Mchanganyiko

Wizi wamuibua JPM  

RAIS John Maguifuli amesema kuwa amebaini zaidi ya shilingi bilioni 1 walizodhulumiwa wananchi za mauzo ya korosho na vyama vya ushirika mkoani Mtwara....

Habari Mchanganyiko

Waimbaji wa muziki wa Injili wafundwa

WATUNZI wa Muziki wa Injili nchini wametakiwa kutunga nyimbo zenye ubunifu na maarifa kwa ajili ya utukufu wa Mungu badala ya kutunga nyimbo...

Habari Mchanganyiko

RC Mbeya sasa kuchapa viboko wasiofunga ndoa

ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametangaza kuwachapa bakora wanaume na wanawake wasiofunga ndoa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Chalamila ametangaza kampeni hiyo kufuatia mijadala...

Habari Mchanganyiko

Tunaathirika wote –  Olengurumwa 

VIWANGO vikubwa vya kodi vimelalamikiwa katika mkutano wa Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia (AZAKI). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakizungumza katika nyakati tofauti kwenye...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasikia kilio cha wananchi Kimara

SERIKALI imeondoa zuio la wafanyabiashara kuendeleza maeneo yao yaliyopakana na barabara ya Kimara Mwisho hadi kwa Kichwa, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Hamis...

Habari Mchanganyiko

Tuzo EJAT zazinduliwa, makundi matatu yatemwa

BARAZA la Habari Tanzania (MCT), leo tarehe 11 Oktoba 2019 limezindua rasmi usaili wa kuwania tuzo za umahiri wa uandishi wa habari (EJAT)...

Habari Mchanganyiko

Upepo, mvua kubwa, mawimbi: TMA yatoa tahadhari

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi...

Habari Mchanganyiko

JPM: Pinda ana moyo wa pekee

RAIS John Magufuli amemsifu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu kwamba ni miongoni mwa watu wema na wanamsaidia kuongoza nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi...

Habari Mchanganyiko

Makonda: Kwa mvua hizi, kuweni na tahadhari

KUFUATIA mvua zinazoendelea kunyesha, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wakazi wa mkoa wake kuwa na tahadhari  ili kuhepuka mafuriko....

Habari Mchanganyiko

Chadema yalizwa Njombe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari Mchanganyiko

‘Mawaziri hawajui kesho yao’

RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kuwaombea mawaziri, akisema kwamba wanafanyakazi kwa mateso makubwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Rais Magufuli ametoa wito huo leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

‘Tatizo la mdomo wazi linatibiwa bure CCBRT’

WAZAZI wenye watoto waliozaliwa na tatizo la mdomo wazi (Mdomo Sungura), wametakiwa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya upasuaji. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Akizungumza leo...

Habari Mchanganyiko

MPFCR: Vijana jiepusheni na mihadarati

TAASISI ya Kinamama na Kinababa kwa Mageuzi ya Jamii (MPFCR), imewataka vijana kuacha matumizi ya mihadarati kutokana na madhara yake. Anaripoti Kamote Martin …...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Baada ya viboko; RC Chalamila ‘afunga’ shule

ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amewarudisha nyumbani wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja, hadi tarehe...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za dini kufanyiwa uhakiki

OFISI ya Msajili wa Jumuiya za Kijamii na Taasisi za Kidini, kufanya uhakiki wa taasisi na jumuiya hizo, zilizopo katika mikoa ya Kanda...

error: Content is protected !!