OFISI ya Msajili wa Jumuiya za Kijamii na Taasisi za Kidini, kufanya uhakiki wa taasisi na jumuiya hizo, zilizopo katika mikoa ya Kanda...
By Regina MkondeOctober 3, 2019WAZEE mkoani Morogoro wameiomba Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa (MORUWASA) kuhakikisha huduma ya maji inafika kila eneo ili kuwasaidia wazee...
By Christina HauleOctober 1, 2019JESI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kufanikiwa kuzima tukio la ujambazi, Mbezi Msakuzi, njia panda ya Mpiji Magoe. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2019MADEREVA wa vyombo vya moto vinaovamia barabara ya mabasi ya mwendakasi, hawatotozwa faini badala yake watapelekwa mahakamani. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Jeshi la Polisi, Kanda...
By Kelvin MwaipunguOctober 1, 2019HATUTAFUMBIA macho watu, taasisi na vyama vya siasa vitakavyokiuka sheria. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 1 Oktoba 2019 na...
By Regina MkondeOctober 1, 2019KANGI Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amekemea uzembe wa baadhi ya askari polisi dhidi ya wahalifu wa ujambazi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2019UGONJWA wa kichaa cha mbwa umetajwa kuwa tishio kwa watoto wenye umri chini ya miaka 15. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa hiyo...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2019RAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas amesema, kama Israel itaendelea kukwapua ardhi yake katika mji wa West Bank, itajiondoa kwenye mikataba yote iliyoingia na...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2019KAULI ya Rais John Magufuli kwamba mradi wa kuendeleza ufukwe wa Coco Beach, jijini Dar es Salaam hauna tija, imewafariji wafanyabiashara wa eneo...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2019VITA vya madaraka ndani ya Jeshi la Polisi, vimemfika pomoni mkuu wa jeshi hilo, IGP Simon Sirro. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli yake...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2019MKUU wa Wilaya ya Kilosa, Morogoro, Adam Mgowi amewataka watendaji wa kata kufanya kazi ya kusimamia mambo yanayotolewa na Serikali ikiwemo rasilimali fedha,...
By Christina HauleSeptember 24, 2019SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetuma mjumbe wake Dk. Tigest Ketsela Mengestu nchini Tanzania, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na serikali kuhusu tetesi za...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2019ANTONY Mavunde, Naibu Waziri Ofisi ya Rais anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, amewataka vijana kutumia vyema fursa wanazozipata ili kujiingizia kipato badala ya...
By Danson KaijageSeptember 24, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutolea uamuzi juu hatma ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva na Makamu...
By Faki SosiSeptember 23, 2019OMBI alilolitoa Rais John Magufuli la kuwaacha huru wahujumu uchumi iwapo watakuwa tayari kurudisha fedha, limeambatana na masharti. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Biswalo Mganga,...
By Faki SosiSeptember 23, 2019WANAFUNZI saba wa Shule ya Msingi Precious Talent, katika eneo la Ngado, Nairobi nchini Kenya wameripotiwa kufariki baada ya kuangukiwa na jengo la...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2019BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imezipiga faini benki tano kwa ukiukwaji wa kanuni za Sheria ya Utakatishaji Fedha Haramu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2019WATU wawili wamefariki dunia katika ajali ya ndege iliyotokea asubuhi ya leo tarehe 23 Septemba 2019, kwenye uwanja wa ndege mdogo wa Seronera...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2019ALPHONCE Buhatwa, mmiliki wa Hoteli ya Coco Beach iliyopo kwenye fukwe ya Oysterbay, jijini Dar es Salaam iliyoungua moto tarehe 22 Septemba 2019,...
By Hamisi MgutaSeptember 23, 2019JENGO moja katika fukwe ya Coco Beach, limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 22 Septemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Jenipher...
By Mwandishi WetuSeptember 22, 2019MBARAKA Koromera (37) amepoteza maisha na wengine wawili kujeruhiwa katika mlipuko wa kifaa kinachodhaniwa kuwa bomu, uliotokea maeneo ya Msangani wilayani Kibaha mkoa...
By Hamisi MgutaSeptember 21, 2019SERIKALI yatoa majibu kuhusu sintofahamu ya zao la korosho, iliyojitokeza kufuatia hatua yake ya kuingilia kati uuzaji wa korosho ghafi za msimu wa...
By Regina MkondeSeptember 21, 2019MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DPP), amekata rufaa kupinga kufutwa kwa makosa ya utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili aliyekuwa Rais wa Klabu ya...
By Faki SosiSeptember 20, 2019SHIRIKA la kuwahudumia wakimbizi la Tanganyika (TCRS) lililopo mkoani hapa limewataka wafanyabiashara kutii sheria za miji na majiji zilizopo bila shuruti huku akiwaasa...
By Christina HauleSeptember 20, 2019THOMAS Mgoli (37) amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kujifanya Ofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)...
By Faki SosiSeptember 20, 2019KIFO cha Godfrey Dilunga, aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la Jamhuri kilichotokea alfajiri ya tarehe 17 Septemba 2019, kimeunganisha wanasiasa wa upinzani na chama...
By Faki SosiSeptember 19, 2019HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, anampenda Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 19, 2019MFANYABIASHARA maarufu nchini na mwekezaji katika Klabu ya Simba, Mohamed Dewj ‘Mo’ ameanzisha mjadala mtandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tarehe 17 Septemba 2019,...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2019JASON Rwekaza, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, Kigoma anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wake (jina linahifadhiwa), amekamatwa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2019JENGO moja la Shule ya Sekondari ya Old Tanga, iliyoko jijini Tanga limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 18 Septemba 2019. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 18, 2019MWANAHABARI Erick Kabendera, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amefanyiwa vipimo vya X-Ray na damu katika Hospitali...
By Faki SosiSeptember 18, 2019KIFO cha Godfrey Dilunga, mwandishi wa habari za mtafiti, mhariri na mchokonozi, kimeumiza tasnia nzima ya habari na kada zingine nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeSeptember 17, 2019JOSEPH Bundala, Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini Tanzania amezitaka taasisi za dini kufanya mabadiliko ya katiba zao, ili ziendane na wakati...
By Danson KaijageSeptember 17, 2019MHASHAMU Yuda Thadeus Ruwai’chi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, ametolewa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU). Anaripoti Faki...
By Faki SosiSeptember 16, 2019SERIKALI imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba kuna mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Ebola hapa nchini. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hivi karibuni...
By Regina MkondeSeptember 14, 2019SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya watu wenye ulemavu kuwa wabunifu katika kuibua miradi, badala ya kutegemea wafadhili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageSeptember 12, 2019OMARY Nundu, aliyewahi kuwa Mbunge wa Tanga Mjini na Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete,...
By Regina MkondeSeptember 11, 2019SERIKALI imesema, ni kweli Wilaya ya Itilima kwa sasa haina Mahakama ya Wilaya, hivyo wananchi wanalazimika kusafiri kwa umbali wa kilometa 37 kufuata...
By Danson KaijageSeptember 11, 2019SERIKALI ya Tanzania imepatiwa msaada wa Sh. 32.74 bilioni kutoka Ujerumani kwa ajili ya kutokomeza vifo vitokanavyo na uzazi, pamoja na kudhibiti maambukizi...
By Regina MkondeSeptember 10, 2019MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 10, 2019BALOZI Paul Ndobho, aliyewahi kuwa Mbunge wa Musoma vijijini kupitia NCCR-Mageuzi, amefariki dunia katika Hospitali ya Bugando, jijini Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeSeptember 9, 2019PROFESA Abel Makubi, Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) amesema, hospitali hiyo imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh. 2 Bilioni kwa wananchi wa...
By Hamisi MgutaSeptember 8, 2019WAKAZI wilayani Kilosa wametakiwa kufuatilia na kusimamia kikamilifu matumizi ya rasilimali za Umma hasa kwenye sekta ya elimu ili kuboresha miundombinu ya shule...
By Christina HauleSeptember 8, 2019CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma, zinazochochea watu kuchukua sheria mikononi dhidi ya watuhumiwa. Anaripoti...
By Faki SosiSeptember 7, 2019MBUNGE wa upinzani ameitaka serikali ieleze, ni lini itaacha kulipisha fedha maiti? Anaripoti Danson Kaijage … (endelea). Ni kutokana na mgonjwa kufia hospitalini...
By Danson KaijageSeptember 6, 2019SERIKALI imesitisha safari za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenda Afrika Kusini, kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Raia...
By Regina MkondeSeptember 5, 2019NDEGE ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL), iliyokuwa inashikiliwa kwa siku kadhaa katika uwanja wa ndege ya Oliver Tambo, hatimaye imerejeshwa nyumbani....
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2019WAFUGAJI wa kuku nchini wameshauriwa kufuata maelekezo ya wataalam na kuongeza uzalishaji ili bei ya kuku kuweza kushuka na jamii kununua na kula...
By Christina HauleSeptember 4, 2019UKATILI wa kijinsia dhidi ya watoto, umeongezeka kwa asilimia 7.7 kutoka matukio 13,457 mwaka 2017 hadi 14,419 mwaka 2018 huku mikoa mitano ikiongoza. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 4, 2019TABIA ya kujisomea hujengwa, kwa kutambua hivyo Benki ya UBA Tanzania imekuwa ikishiriki kutoa mchango wa vitabu kuhakikisha inajenga tabia hiyo kwa wanafunzi...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2019