Saturday , 20 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti TPSF ahimiza maadili, sheria sekta binafsi

TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) imeendelea kuwahimiza wadau waliyopo kwenye sekta hiyo kufuata sheria, taratibu na uzalendo ili kuepukana na vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Baba mbaroni kwa kumbaka na kumlawiti mwanae

MWANAUME mmoja Saidi Kasti (35) mkazi wa kitongoji cha Kimangakene Kijiji cha Diyovuva kata ya  Kiroka wilayani Morogoro anashikiliwa polisi kwa tuhuma za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba wa wafanyakazi Azam watikisa, mwendokasi wapigiwa kelele

VIONGOZI  mbalimbali wa kisiasa na watu mashughuli wametao neno la pole kwenye msiba wa wafanyakazi watano wa Azam TV  waliofariki jana kwenye ajali ...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wazidi kupaa

MFUMUKO wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Juni ,2019 umeongezeka hadi kufikia  asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka ulioishia mwezi...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli amtumia salamu za rambirambi Bakhresa, Azam Media

RAIS John Magufuli ameungana na Watanzania kutoa salamu za rambirambi kwa uongozi wa Kampuni zilizo chini ya Azam Media zinazoongozwa na mwenyekti wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wafanyakazi Azam wafariki ajalini

WAFANYAKAZI watano wa Azam Televishen kati ya saba leo tarehe 8 Julai 2019, wamepoteza maisha kwenye ajali iliyotokea katika eneo la Malendi, Wilaya...

Habari Mchanganyiko

Timu ya uongozi Dodoma yatembelea kituo cha afya

TIMU ya Uongozi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (CMT), imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mkonze. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Wazee 19, 543 Dodoma watambuliwa

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imekamilisha utambuzi wa wazee 19, 543 katika kata zote 41 za jiji hilo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mali za Mbowe zapigwa mnada kufidia deni la Bil. 1

BAADHI ya vifaa vya Kampuni ya Mbowe Limited (Bilicanas) vimepigwa mnada leo tarehe 6 Julai 2019 na Kampuni ya Udalali ya Fosters Auctioneers...

Habari Mchanganyiko

Watumishi wa Jiji la Dodoma watakiwa kushiriki usafi

WATUMISHI wa taasisi mbalimbali za serikali wametakiwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la usafi ambalo ufanyika kila jumamosi kuanzia saa moja kamili hadi saa...

Habari Mchanganyiko

Mbowe kupata pigo lingine, mali zake sasa kupigwa mnada

MALI za kampuni ya Mbowe Limited, inayomilikiwa na mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, zimapangwa kupigwa mnada, Jumamosi wiki...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Interpol kuchunguza kutekwa msaidizi wa Zitto

JESHI la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema, litashirikiana na Shirika la Polisi la Kimataifa (INTERPOL) kuchunguza tukio la kupotea na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda gizani tena

MAHAKAMA ya Rufaa, jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Julai 2019 imefuta hukumu ya Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na...

Habari Mchanganyiko

Mbaroni kwa kumlawiti mama yake mzazi

KIJANA mmoja ambaye hakutajwa jina, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumlawiti mama yake mzazi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa aokoa Sh. 250 mil za sherehe Mwanza

WaAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Professa Makame Mbarawa ameagiza Sh. 250 milioni zilizokuwa zimetengwa na wizara hiyo kwa ajili ya sherehe za uzinduzi...

Habari Mchanganyiko

Msaidizi wa Zitto ‘aokotwa’ Kenya

RAPHAEL Ongangi, aliyekuwa Msaidizi wa Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amepatikana akiwa hai asubuhi ya leo tarehe 2 Julai 2019, eneo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatenga Bil 114.5 kumaliza changamoto ya maji Dar, Pwani

SERIKALI imepanga kutumia kiasi cha Sh. 114.5 Bilioni katika kutekeleza miradi sita ya maji kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

CAG Assad: Rasilimali zinatumika vibaya, zilindeni

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, amezitaka asasi za kiraia kuhakikisha zinasaidia kulinda rasilimali za asili, ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Wapangaji sugu TBA wape wa siku 14

WAPANGAJI wa nyumba za serikali, wamepewa siku 14 na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kulipa malimbikizo ya madeni yao kabla haijawaondoa kwa nguvu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yaingilia kati mradi wa maji Chemba

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Dodoma imeingilia kati ujenzi wa Mradi wa Maji wa Kiniji cha Kelema Kuu,...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji washauriwa kutumia hospitali ya mifugo SUA

WAFUGAJI wa mifugo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Mifugo Tanzania iliyopo Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ampa kazi Rostam Aziz

RAIS John Magufuli amempa kazi Rostam Aziz, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Limited, kutafuta wawekezaji. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Amempa...

Habari Mchanganyiko

‘Kitanzi’ cha AZAKI chalalamikiwa

ASASI za Kiraia nchini (AZAKI) pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wameiomba serikali kuondoa bungeni muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wadau waombwa kusaidia taulo za kike kwa watoto yatima

SERIKALI na wadau mbalimbali wameombwa kutoa msaada taulo za kike (pedi) kwa mabinti waliopo kwenye vituo vya kulelea watoto yatima na walemavu kufuatia...

Habari Mchanganyiko

‘Mamba wanatafuna watu Mto Rufiji’

MOHAMMED Mchengelwa, Mbunge wa Rufiji amesema, changamoto ya uhaba wa maji inahatarisha maisha ya wananchi wake, kufuatia baadhi yao kuliwa na mamba wanakichota...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania yaita wawekezaji zao la Korosho

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa wito kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya nchi wenye nia ya kuwekeza katika zao la...

Habari Mchanganyiko

Waziri Kamwele aagiza mazito Mwanza

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwele amemuagiza mkandarasi wa kampuni ya STX Sekyong LTD inayojenga chelezo la meli mpya katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekani yatoa tahadhari tishio la Tanzania kushambuliwa

UBALOZI wa Marekani nchini Tanzania, umeleza kuwepo mipango ya matukio ya mashambulizi kwenye hoteli na migahawa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Daraja la Salenda kupitia baharini kukamilika 2021

MTENDAJI  Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale amesema, daraja la Salenda linalopitia baharini Coco Beach – Aga Khan, linatarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya mwanachuo KIU: Mtuhumiwa akiri kuhusika

ERNEST Joseph (19), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Anifa...

Habari Mchanganyiko

Wawekezaji watoroka na mabilioni 

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), inawasaka wamiliki wa Kampuni ya MEIS Industies kwa tuhuma za kutoroka na fedha za...

Habari Mchanganyiko

Kurejeshwa VAT taulo za kike kwakera wadau

HATUA ya serikali kurudisha kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye taulo za kike, kimewachukiza wanawake wengi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Akizungumza wakati...

Habari MchanganyikoMichezo

Masikini Wema! Atupwa mahabusu

WEMA Sepetu, mwigizaji na msanii maarufu wa filamu nchini, amejisalimisha na kutupwa mahabusu baada ya Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam kuagiza...

Habari Mchanganyiko

NBC yapata tuzo ya utendaji bora

IMEELEZWA kuwa Benki ya NBC ni benki ya tatu kwa ukubwa nchini Tanzania, hivyo wametunukiwa tuzo ya Utendaji Bora wa sekta ya benki...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi Dodoma amaliza mgogoro wa ardhi wa miaka 20

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kwa wakazi eneo la C Centre...

Habari Mchanganyiko

Fuvu la Zinjanthropus kutowekwa hadharani

DAKTARI Hamis Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii amesitisha mpango wake wa kupeleka fuvu la mtu wa kale katika Makumbusho ya Olduvai, Ngorongoro...

Habari Mchanganyiko

Tozo 15 Mifugo na Uvuvi zafutwa

SERIKALI imefuta tozo 15 katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ikiwa ni hatua ya kuboresha sekta hiyo na kuondoa vikwazo walivyokuwa wakikumbana navyo...

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2019/20: Ada leseni za udereva, usajili magari wapanda

SERIKALI ya Tanzania imependekeza kupanda kwa ada ya leseni ya udereva kutoka Sh. 40,000 za sasa, mpaka Sh. 70,000 kwa Mwaka wa Fedha...

Habari Mchanganyiko

Mapato ATCL yaongezeka

MAPATO ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), yameongezeka kutoka Sh. 11.7 Bilioni mwaka 2015/16 hadi Sh. 45.5mwaka 2018/19. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wanakijiji wachanga Mil 20 kujenga madarasa

JUMLA ya Sh. 20 milioni zimetenwa na wanakijiji wa kijiji cha Mlilingwa, Ngerengere mkoa wa  Morogoro walizokusanya kutokana na mapato ya mkaa endelevu...

Habari Mchanganyiko

Tanesco Mwanza lapongeza wafanyabiashara

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), Kanda ya Ziwa limeeleza kuwa, wafanyabiashara wakubwa ni miongoni mwa watu wanaongoza kulipa bili ya umeme kwa asilimia...

Habari Mchanganyiko

Sheria Maudhui ya Mtandao kukatiwa rufaa

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mtwara leo tarehe 12 Juni 2019, imetoa kibali cha kukata rufaa ya kupinga Kanuni za Maudhui ya Mtandao ya...

Habari Mchanganyiko

Mvutano waibuka kesi ya Sheikh Ponda

SERIKALI imeitaka Mahakama ya Rufani kuirudisha kesi ya jinai No. 245 ya mwaka 2012, inayomkabili Sheikh Ponda Issa Ponda, katika Mahakama ya Kisutu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya uvamizi: Sheikh Ponda arudishwa kortini

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, leo tarehe 11 Juni 2019 anapandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Rufani,...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wapaa

MFUMKO wa bei umeongezeka kutoka asilimia 3.2 mwezi Aprili, hadi asilimia 3.5 mwezi Mei mwaka huu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Akizungumza na...

Habari Mchanganyiko

Wizara yapongezwa kupitisha sera ya mkaa

MENEJA wa mradi wa kuleta maeuzi katika Sekta ya mkaa Tanzania (TTCS), Leonard Charles ameishukuru  Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kuamua kuunda...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za rushwa: Ofisa TRA, Polisi wapandishwa kizimbani

CHARITY Ngwala (28), Ofisa Msaidizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), H 4810 PC Ramadhani Uweza (28) na H 48 86...

Habari Mchanganyiko

AZAKI zatakiwa kusimamia fedha za miradi vizuri

SERIKALI imezitaka Asasi za Kiraia (AZAKI) kusimamia vyema matumizi ya fedha za miradi, ili ziwanufaishe walengwa. Anaripoti Danson Kaijage…(endelea). Wito huo umetolewa na...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mradi wa REA haulipi fidia

SERIKALI imesema, hakuna malipo ya fidia kwenye maeneo ya wananchi,yanayopitiwa na mradi wa usambazaji umeme vijijini unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA)....

Habari Mchanganyiko

Familia yarejesha ‘uhai’ wa Kapteni Komba

FAMILIA ya aliyekuwa gwiji wa sanaa nchini, Kapteni Jonh Komba, inatarajia kuzindua taasisi ya kumbukumbu ya kuenzi sanaa yake. Anaripoti Faki Sosi …...

error: Content is protected !!