HABARI MCHANGANYIKO Wizara kuanzisha kitengo maalumu usimamizi wa nishati safi August 23, 2024 Erasto Masalu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko amesema wizara hiyo itaendelea kutoa kipaumbele ajenda ya nishati safi ya kupikia nchini kwa namna mbalimbali ikiwemo kuanzisha kitengo maalum…
HABARI MCHANGANYIKO JJAD Kagera Farmers kuongeza uzalishaji kahawa ya Robusta August 23, 2024 Erasto Masalu KAMPUNI inayojihusisha na kilomo cha kahawa JJAD Kagera farmers imeishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia bei ya kahawa kupanda bei hadi kufikia…
HABARI MCHANGANYIKO Waongoza watalii wafunguka maandamano wakazi Ngorongoro August 22, 2024 Erasto Masalu BAADHI ya waongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, jijini Arusha, wamewataka watu wanaohamasisha wakazi waishio hifadhini humo kuandamana kuacha kwani kitendo hicho kinachafua taswira ya nchi. Anaripoti Mwandishi…
HABARI MCHANGANYIKO TMA kuzifundisha nchi za Afrika matumizi ya rada kwenye utabiri August 21, 2024 Erasto Masalu MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), inatarajia kuendesha mafunzo ya rada kwa nchi za Afrika Mashariki pamoja na zile za Ukanda wa Kusini mwa Afrika ambayo yataanza kufanyika tarehe…
HABARI MCHANGANYIKO Dk. Mpango aagiza TARURA kukarabati barabara Kondoa August 21, 2024 Erasto Masalu Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ameagiza Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji (TARURA) kufanya ukarabati wa Barabara ya Ntundwa – Hurui ya Wilayani Kondoa ili kuwarahisishisa wananchi shughuli za…
HABARI MCHANGANYIKO Polisi 5 wanaodaiwa kumtorosha mfungwa aliyeua wanawake 42, waburuzwa mahakamani August 21, 2024 Erasto Masalu MAOFISA watano wa polisi wanaotuhumiwa kumsaidia mfungwa anayehusishwa na mauaji ya wanawake 42 kutoroka gerezani jijini Nairobi, wamefikishwa mahakamani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo inajiri wakati huu…
HABARI MCHANGANYIKO RITA yawataka Watanzania kusajili wosia kuepuka migororo katika familia August 21, 2024 Erasto Masalu MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amewataka makatibu tawala wa wilaya na maofisa ustawi wa jamii katika halmashauri zote za mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kuhamasisha wananchi…
HABARI MCHANGANYIKO Bilioni 366 kupeleka umeme kwenye vitongoji 3,060 August 20, 2024 Erasto Masalu JUMLA ya Sh 366 bilioni zinatarajiwa kutumika kutekeleza mpango wa kupeleka umeme kwenye vitongoji 3,060 vilivyopo katika majimbo 15 katika awamu kwa kwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Samia afungua skuli iliyojengwa na NMB kwa mil. 800 August 20, 2024 Erasto Masalu RAIS Samia Suluhu Hassan amefungua Skuli ya Maandalizi ya Tasani – Visiwani Zanzibar ambayo Benki ya NMB imegharamia ujenzi wake na uwekaji wa samani ikiwemo viti, meza na madawati kwa…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI TLS yaunda kamati kumaliza mgogoro wa Ngorongoro, Dk. Nshala kuongoza jopo August 20, 2024 Erasto Masalu BARAZA la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limeunda Kamati Maalum ya kufuatilia mgogoro wa baina ya wakazi asilia (wamasai) katika wilaya ya Ngorongoro na mamlaka za Serikali ili…