HABARI MCHANGANYIKO Watu 172 kortini kwa kufanya vurugu, unyang’anyi siku ya Uchaguzi November 8, 2025 Erasto Masalu WATU 172 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nyamagana, mkoani Mwanza na kusomewa mashtaka kadhaa yakiwemo ya kuharibu mali, kuchoma moto na unyang’anyi wa kutumia silaha. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Gwajima vigogo Chadema wasakwa na Polisi November 8, 2025 Erasto Masalu JESHI la Polisi nchini limesema kufuatia uchunguzi na ushahidi uliokusanywa hadi sasa kuhusu vurugu zilizotokea tarehe 29 Oktoba 2025, linawasaka kwa ajili ya kuwakamata baadhi ya vigogo wa Chama cha…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Niffer, GEN Z washtakiwa kwa uhaini November 7, 2025 Erasto Masalu WATU 98 akiwemo Jeniffer Jovin ‘Niffer’, mfanyabiashara maarufu wa vipodozi nchini, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na kushtakiwa kwa makosa ya uhaini, yanayohusishwa na…
HABARI MCHANGANYIKO Watu 300 waliokamatwa kwenye maandamano Kilimanjaro waachiwa November 6, 2025 Erasto Masalu KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, SACP Saimon Maigwa, amesema watuhumiwa 300 waliokamatwa kwenye maandamano waliokamatwa awali wameachiwa baada ya kubainika hawakuwa na makosa. Anaripoti Joyce Ndeki, Kilimanjaro … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Hatutakubali kubezwa tena – OMO November 6, 2025 Erasto Masalu ALIYEKUWA mgombea urais Visiwani Zanzibar, Othman Masoud Othman (OMO), amewataka wafuasi wake, kupigania alichoita, “Zanzibar yenye heshima.” Anaripoti Mwandishi Wetu kutoka Pemba…(endelea). Amesema, “…sisi siyo watu wa kubezwa na hatutakubali…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mawakili wa Heche walishtaki Jeshi la Polisi November 6, 2025 Erasto Masalu WAKILI wa John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Hekima Mwasipu, amesema kuwa wamefungua kesi Mahakama Kuu wakilishtaki Jeshi la Polisi kwa kumshikilia mteja wake (Heche)…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA Umoja wa Afrika: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa November 6, 2025 Erasto Masalu UCHAGUZI mkuu wa 29 Oktoba 2025, nchini Tanzania, haukikidhi kanuni na viwango vya demokrasia. Ndivyo wanavyoeleza waangalizi wa Umoja wa Afrika (AU), katika ripoti yao, iliyotolewa jana Jumatano, tarehe 5…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA CUF kuomboleza siku 30 waliouawa kwenye maandamano November 5, 2025 Erasto Masalu CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeanza maombolezo ya kitaifa ya siku 30 kwa ajili ya watu waliouawa, kujeruhiwa na kupotea tarehe 29 Oktoba 2025,siku uliofanyika uchaguzi mkuu. Anaripoti Zakia Nanga, Dar…
ELIMU HABARI MCHANGANYIKO Watahiniwa 937,581 wafaulu elimu ya msingi November 5, 2025 Erasto Masalu BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika kuanzia tarehe 10 Septemba 2025. Anaripoti Zakia Nanga, Dar es Salaam … (endelea). Matokeo hayo…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mwabukusi alaani Heche kutuhumiwa kwa ugaidi November 5, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wakili Boniface Mwabukusi, amelaani vikali hatua ya Jeshi la Polisi na kumkamata na kumfungulia jalada la tuhuma za ugaidi Makamu Mwenyekiti wa…