Wanafunzi wa darasa la saba wakifanya mtihani
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika kuanzia tarehe 10 Septemba 2025. Anaripoti Zakia Nanga, Dar es Salaam … (endelea).
Matokeo hayo yametangazwa leo, Jumatano tarehe 5 Novemba 2023 na Katibu Mtendaji wa Necta, Profesa Said Ally Mohamed.
Jumla ya watahiniwa 1,172,279 walifanya mtihani huo kati ya hao wavulana ni 535,138 sawa na asilimia 45.65 na wasichana ni 637,141 sawa na asilimia 54.35.
INGIA HAPA KUPATA MATOKEO KAMILI
ZINAZOFANANA
Mwanajeshi wa Marekani akamatwa na mabomu Tanzania
Machafuko ya 29 Oktoba: Maaskofu Katoliki wataka wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wawajibike
Shinikizo la kufanyika uchunguzi wa mauaji ya 29 Oktoba lashika kasi