BIASHARA Cheza Expanse kasino ushinde mamilioni August 14, 2024 Erasto Masalu Meridianbet wanakwambia ukicheza Expanse Kasino unajiweka sehemu nzuri ya kujishindia maokoto ya kutosha. Jisajili hapa kuwa sehemu nzuri Zaidi ya ushindi. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka…
SIASA TANGULIZI Mbowe: Viongozi wote Chadema hawataripoti polisi August 14, 2024 Erasto Masalu MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema viongozi wote wa chama hicho hawatokwenda kuripoti polisi kama ambavyo wameelekezwa baada ya kujidhamini wenyewe na wengine kudhaminiwa. Anaripoti…
SIASA TANGULIZI Mbowe: Tutawaburuza mahakamani Sisti Nyahoza, Awadhi Haji August 14, 2024 Erasto Masalu MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema wanatarajia kuwaburuza mahakamani Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo, CP – Awadh Haji pamoja na Msajili msaidizi wa vyama vya…
SIASA Madiwani Moro wazua mzozo kwenye baraza ununuzi greda August 14, 2024 Erasto Masalu MADIWANI wa Halmashari ya Manispaa ya Morogoro wameitaka Halmashauri hiyo kuhakikisha inanunua Greda la kuchonga barabara kabla ya Agosti 30 mwaka huu ili kutowakwamisha kwenye uchaguzi hapo mwakani. Anaripoti Christina…
HABARI MCHANGANYIKO Soko la bidhaa za Halal lazidi kupanuka duniani August 14, 2024 Erasto Masalu UKUBWA wa soko la bidhaa za Halal duniani umeendelea kuongezeka kutoka Dola trilioni 1.2 miaka 10 iliyopita hadi kufikia dola trilioni 2.29 mwaka jana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
HABARI MCHANGANYIKO RITA yasajili na kutoa vyeti kwa watoto milioni 10 August 14, 2024 Erasto Masalu WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umesajili zaidi ya watoto milioni 10 kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara, idadi ambayo ni sawa na asilimia 68 ya watoto waliopewa vyeti…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO GGML waanza kutumia umeme wa gridi, kupunguza gharama kwa 92% August 14, 2024 Erasto Masalu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amezindua kituo cha kupokea na kupoza umeme katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita (Geita Gold Mining Limited- GGML) chenye uwezo…
Uncategorized NBC yaja na kampeni kuhamasisha kilimo cha kahawa Mbinga August 14, 2024 Erasto Masalu BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi kampeni yake ya ‘Shinda Mechi Zako Kinamna Yako na NBC Shambani’ wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma ikilenga kuchochea kasi ya uzalishaji wa zao…
SIASA TANGULIZI Wachambuzi: Siasa za machafuko hazikubaliki TZ August 14, 2024 Erasto Masalu SIKU chache baada ya viongozi wakuu wa Chadema kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kukaidi agizo la kupiga marufuku kongamano la maadhimisho ya vijana duniani, wachambuzi wa masuala…
HABARI ZA MICHEZO TFF: Wamrudisha Awesu KMC August 14, 2024 Erasto Masalu KAMATI ya Sheria na hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemaliza utata kwenye Sakata la usajili la mchezaji Awesu Ali Awesu na kueleza kuwa mchezaji…