BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Dk. Tulia azindua PBZ Mbeya aonya mikopo ‘kausha damu’ July 30, 2024 Erasto Masalu SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amezindua rasmi tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) mkoani Mbeya huku akiwaomba wananchi kutumia taasisi rasmi…
HABARI MCHANGANYIKO Ujenzi wa bandari ya uvuvi Kilwa wafikiwa 63%, kukamilika Feb 2025 July 30, 2024 Erasto Masalu WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko ambao mpaka sasa umefikia asilimia 63 na unatarajiwa kukamilika mwezi…
HABARI MCHANGANYIKO Mchengerwa: Kuaminiana kumepunguza migogoro ya wafanyabiashara July 30, 2024 Erasto Masalu WAZIRI wa Nchini Ofisi ya Rais Tawala ya Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema kuimarika kwa ushirikiano na kuaminiana kati ya sekta za umma na binafsi kumeongeza…
HABARI MCHANGANYIKO Taasisi 16 za kilimo ikolojia hai kushiriki nanenane July 30, 2024 Erasto Masalu WADAU wa kilimo ikolojia hai kutoka taasisi 16 nchini wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kitaifa ya nanenane 2024 ambayo yaanza tarehe 1 hadi 8 Agosti mwaka huu mkoani Dodoma. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO Sweetbert Nkuba kuimarisha miundombinu TLS July 29, 2024 Erasto Masalu SWEETBERT Nkuba, ambaye ni miongoni mwa wagombea sita wa nafasi ya urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), moja ya sera zake ni uimarishaji wa miundombinu ya kisheria na kiteknolojia…
HABARI MCHANGANYIKO MAKALA & UCHAMBUZI SIASA Kampeni za urais TLS zashika kasi, mbivu, mbichi kujulikana Ijumaa hii July 29, 2024 Erasto Masalu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ambao unatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa wiki hii zinaendelea kupamba moto kwa kila mgombea kunadi sera zake ili achaguliwe kuwa…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO SIASA Mfanyabiashara akata rufaa mfanyakazi wa CRDB kuachiwa huru July 29, 2024 Erasto Masalu MFANYABIASHARA Deogratus Minja amewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ya kumuachia huru mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi…
HABARI MCHANGANYIKO Mtalii afariki kwa ajali Serengeti, majeruhi watano wapelekwa Nairobi July 29, 2024 Erasto Masalu MTALII mmoja amefariki dunia na wengine sita wamejeruhiwa katika ajali gari iliyotokea jana Jumapili saa 10 jioni kwenye Hifadhi ya Taifa Serengeti. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara … (endelea). Taarifa iliyotolewa…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI URUS TZ kupeleka teknolojia ya uhimilishaji mifugo maenesho ya Nanenane July 29, 2024 Erasto Masalu IKIWA ni sehemu ya kusaidia jitihada za kukuza sekta ya mifugo hapa nchini, Kampuni ya URUS inatatajiwa kushiriki maonesho ya Nanenane mwaka huu katika mikoa sita ya Morogoro, Dodoma, Mbeya,…
HABARI MCHANGANYIKO Uchaguzi wa TLS wapamba moto July 28, 2024 Erasto Masalu WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) unaotarajiwa kufanyika Agosti 2, 2024,wangobea urais wa chama hicho wameendelea kunadi sera zao ili wachanguluiwe. Anaripoti Matilda Peter, Dar es…