HABARI MCHANGANYIKO Wanasheria ziara ya Rais Samia waendelea kusaidia wananchi wenye shida August 5, 2024 Erasto Masalu WANASHERIA wanaoambatana na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro wameendelea kuwa msaada kwa wananchi kwa kutoa elimu ya sheria na kuchukua changamoto zao kwaajili ya kuzifanyia…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Mwabukusi: TLS tunafuatilia binti aliyetendewa ukatili wa kingono August 5, 2024 Erasto Masalu RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amelaani kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia aliofanyiwa binti mmoja mkazi wa Yombo Dovya huku akirekodiwa video na wanaume waliokuwa…
HABARI MCHANGANYIKO Jotoardhi kunufaisha kilimo, ufugaji, wavuvi August 5, 2024 Erasto Masalu MJEOKEMIA Mwandamizi wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Ariph Ole Kimani amesema uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi unaondelea kufanyika nchini utaongeza mnyororo wa thamani kwenye sekta ya kilimo,…
HABARI MCHANGANYIKO Ziara ya Rais Samia neema kwa wenye matatizo ya kisheria Morogoro August 4, 2024 Erasto Masalu TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro kwaajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili…
HABARI MCHANGANYIKO Wananchi wampongeza Rais Samia kwa huduma za msaada wa kisheria bure Nanenane August 4, 2024 Erasto Masalu WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro ……
HABARI MCHANGANYIKO Gwajima: Walezi wa kuaminika wapatiwe vitambulisho August 3, 2024 Erasto Masalu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Gwajima amemuagiza Kamishna wa Ustawi wa Jamii nchini Dk. Nandera Mhando kuhakikisha walezi wa kuaminika katika jamii wanaojulikana kama…
HABARI MCHANGANYIKO Mwalimu aliyemchapa mwanafunzi kwa madai ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ahukumiwa gerezani August 2, 2024 Erasto Masalu MWALIMU wa shule ya sekondari ya Kings iliyopo Goba jijini Dar es Salaam Yusuph Mirambi (43), amehukumiwa kutumikia kifungo cha miezi sita gerezani na kulipa faini ya Sh. Milioni mbili…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Treni ya SGR yabuma tena Morogoro August 1, 2024 Erasto Masalu WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi akizindua rasmi huduma za usafiri wa reli ya kisasa (SGR), treni iliyokuwa imebeba wageni walioshiriki uzinduzi huo wakiwamo mabalozi na abiria kutokea mkoani…
HABARI MCHANGANYIKO WaterAid yawafuta machozi wananchi Hanang August 1, 2024 Erasto Masalu SHIRIKA la WaterAid limekabidhi mradi wa uboreshaji wa huduma za miondombinu ya maji na usafi wa mazingira Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliogharimu Sh million 425 na unalenga kuwafikia wanufaika…
HABARI MCHANGANYIKO Wakulima wa miwa Kilombero wamgeuka Mpina August 1, 2024 Erasto Masalu Wakulima wa miwa katika Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wamekanusha taarifa zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) na baadhi watu waliodanganya kuwa ni wawakilishi wa wakulima na…