Ian Khama
RAIS wa zamani wa Botswana, Ian Khama amerejea nchini bila kutarajiwa baada ya miaka mitatu ya kukaa uhamishoni, na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka yakiwemo ya kutakatisha fedha na kumiliki silaha kinyume cha sheria. GABORONE, Botswana.
Mzee huyo mwenye umri wa miaka 71 alikuwa amedai hivi majuzi kulikuwa na njama ya kumtilia sumu ikiwa angekanyaga nyumbani kwake.
Serikali ilizitaja tuhuma hizo kuwa za “kuudhi”.
Wafuasi wake waliimba “Jenerali amerejea” wakati Khama akiondoka kwenye mahakama siku ya Ijumaa katika mji mkuu, Gaborone
ZINAZOFANANA
Rais wa FA ya Congo afungwa maisha jela
Rais wa soka wa DCR-Kongo, ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani
Mojtaba Khamenei ndiye mrithi wa Ayatollah Ali Khamenei, Iran