SIASA TANGULIZI Si aibu kubeba watu kuleta kwenye mikutano – Rais Samia September 5, 2025 Erasto Masalu MGOMBEA urais, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema, siyo aibu kwa chama cha siasa, kusafirisha wanachama wake, kuhudhuria mikutano ya kampeni ili kusikiliza sera zake na…
SIASA Serikali ya NLD kununua meli kubwa ya uvuvi September 4, 2025 Erasto Masalu MGOMBEA Urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, amesema akichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, serikali yake itanunua meli kubwa ya uvuvi…
SIASA TANGULIZI Bwege adai kutaka kuhongwa Sh. 100 milioni kuivuruga ACT September 4, 2025 Erasto Masalu ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Suleman Bungara ‘Bwege’ amesema kuwa kuna baadhi ya wanachama na viongozi wa upinzani wanatumika kuvihujumu vyao ili kunufaisha Chama…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Rais Mwinyi azindua kituo cha mabasi na soko la Chuini September 4, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali Mwinyi,amezindua rasmi kituo kipya cha Mabasi na Soko la Wafanyabiashara katika eneo la Chuini, Wilaya ya Magharibi A, mkoani Unguja.…
HABARI ZA AFYA SIASA TANGULIZI Matibabu bure ya Moyo, Figo na Sukari kwa wasiojiweza sio kila mtu – Samia September 3, 2025 Erasto Masalu MGOMBEA wa kiti cha Urais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, mzigo wa gharama za matibabu ambao serikali utabeba kwa baadhi ya magonjwa…
SIASA TANGULIZI Wenje aibuka, aunga mkono kususia uchaguzi September 2, 2025 Erasto Masalu HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekiel Wenje, amejitokeza hadharani na kupinga uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025. Anaripoti Zakia Nanga, Dar…
SIASA Mbunge aliyekaa siku 8 ACT-Wazalendo arudi CCM September 2, 2025 Erasto Masalu BAADA ya siku nane za kukaa ndani ya chama cha ACT-Wazalendo aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini mkoani Manyara,Flatei Gregory Massay, amerejea tena Chama Cha Mapinduzi (CCM. Anaripoti Fedrick…
SIASA TANGULIZI Nchimbi amfungulia Mpina mlango wa kurejea CCM September 2, 2025 Erasto Masalu MGOMBEA Mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemuomba aliyekuwa kada wa chama hicho na mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina arejee kundini na atampokea kwa mikono…
SIASA Wasira: Kazi aliyoifanya Rais Samia anastahili kuchaguliwa tena September 2, 2025 Erasto Masalu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema wakati wanamuombea kura mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, Dk. Samia Suluhu Hassan watanzania ni mashahidi kwa…
MAKALA & UCHAMBUZI SIASA TANGULIZI Majemedari Zbar wakabana September 1, 2025 Erasto Masalu WAKUU wa vyama vinavyoshindania udhibiti wa siasa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi na Othman Masoud Othman sasa wanakabana katika kutafuta ridhaa ya wananchi ya kuiongoza Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar…