HABARI ZA MICHEZO Wakali wa EPL uso kwa uso Nusu Fainali ya Europa April 30, 2026 Erasto Masalu Leo Alhamisi tarehe 30 Aprili saa 22:00 Uwanja wa City Ground utashuhudia tukio la kipekee kwa soka la Uingereza. Nottingham Forest na Aston Villa watakutana katika hatua ya nusu fainali…
BIASHARA Meridianbet yazidi kukimbiza kama chaguo la vijana wanaotaka burudani April 30, 2026 Erasto Masalu Kwa kizazi cha sasa, kila kitu kinahitaji kuwa na maana, na Meridianbet imejidhihirisha kuwa zaidi ya sehemu ya kubeti. Ndani ya miezi mitatu ya kwanza ya 2026, Meridian Holdings imeingiza…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mahakama yamkatalia Lissu kuunganishwa kwenye kesi ya mgawanyo wa mali April 30, 2026 Fedrick Gama WAKILI Rugemeleza Nshala amesema Mahakama imetoa uamuzi mdogo kuhusu maombi ya Tundu Lissu ya kuomba kuunganishwa katika kesi namba 8323 iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake, inayohusu mgawanyo wa mali.Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO Mwandishi wa habari jela miaka 60 kwa kukutwa na bangi April 30, 2026 Erasto Masalu MAHAKAMA ya wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya, imemhukumu kifungo cha miaka 60 gerezani, Zawadi Jackson Mwakijolo, baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha bangi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea).…
BIASHARA RC Singida apongeza jitihada za NBC kuchochea kasi ya mapinduzi ya kilimo April 30, 2026 Erasto Masalu MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, amepongeza mchango wa wadau mbalimbali ikiwemo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuharakisha maendeleo ya sekta…