SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ameteua wabunge sita kuwa wabunge la Jamhuri. Anaripoti Shamsa Haji, Dar es Salaam … (endelea). Rais Samia amefanya uteu huo leo tarehe 10 Novemba 2025 ambapo amewateua, Dk. Dorothy Gwajima, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Dk. Bashiru Ally, Abdullah Ali Mwinyi, Balozi Khamis Mussa Omar na Dk. Rhimo Nyansaho. Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Balozi Dk. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi . Katiba ya Tanzana ya mwaka 1977 ibara ya 66 (1) (e) inampa mamlaka Rais kuteua watu 10 kuwa wabunge wa Jamhuri. Share this… Facebook Pinterest Twitter Linkedin Whatsapp About The Author Erasto Masalu See author's posts Post navigation Kesi ya Lissu yaahirishwa kwa sababu za kiusalama Heche, Lema, Golugwa na Jacob, waachiliwa kwa dhamana