KIMATAIFA TANGULIZI Nicolás Maduro, ang’olewa madarakani, ashikiliwa Marekani January 3, 2026 Erasto Masalu RAIS wa Venezuela, Nicolás Maduro, amekamatwa na kung’olewa mamlakani na Marakani, kufuatia mashambulizi makubwa nchini mwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Waziri wa Ulinzi wa taifa hilo,…
KIMATAIFA TANGULIZI Mvutano Mpya wa Kimataifa: Marekani, Venezuela na hatma ya Maduro January 3, 2026 Erasto Masalu TAMKO la Rais wa Marekani, Donald Trump, kudai kuwa Marekani imefanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya Venezuela na kumkamata Rais Nicolas Maduro pamoja na mke wake, limeibua mshtuko mkubwa…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Mwaka mpya umeanza kwa kishindo December 31, 2025 Erasto Masalu SHEREHE za kuukaribisha mwaka mpya tayari zimeanza katika baadhi ya maeneo ya ulimwenguni, huku mataifa ya Pasifiki yakiongoza kuingia mwaka 2026 kabla ya sehemu nyingine za dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu,…
KIMATAIFA M23 yajipanga kuangusha serikali DRC December 30, 2025 Erasto Masalu CORNEILLE Nangaa, kiongozi wa muungano wa waasi wa AFC/M23, amesema kuwa kundi lake limepanga kushinda vita, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam ……
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Tanzania yawekewa vikwazo vipya Marekani December 17, 2025 Erasto Masalu SERIKALI ya Marekani, imepiga marufuku ya usafiri dhidi ya raia wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa ya Ikulu ya Marekani, iliyotolewa leo Jumatano, tarehe 17…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Jaribio la Mapinduzi Benin lazimwa December 7, 2025 Erasto Masalu WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Benin, Alassane Seidou, ametangaza kuwa jaribio la mapinduzi lililofanywa na “kikundi kidogo cha wanajeshi” limezimwa na jeshi la nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Serikali ya Benin imepinduliwa December 7, 2025 Erasto Masalu JARIBIO la mapinduzi linaendelea nchini Benin, baada ya kundi la wanajeshi kudai kwamba wamemwondoa Rais Patrice Talon madarakani na sasa wanachukua usimamizi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA SIASA TANGULIZI Mwanasheria wa kimataifa ataka Tanzania isifukuzwe Jumuiya ya Madola December 6, 2025 Erasto Masalu MWANASHERIA wa kimataifa wa haki za binadamu, Robert Amsterdam, ametoa wito wa dharura kwa Jumuiya ya Madola (Commonwealth), kuisimamisha Tanzania mara moja uanachama wake, kutokana na ukiukaji mkubwa wa maadili…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA Uwezekano wa wanawake kuwa Mashemasi bado mgumu December 5, 2025 Erasto Masalu TUME ya Juu ya Vatican imeendelea kupinga uwezekano wa kuruhusu wanawake wa Kikatoliki kuhudumu kama mashemasi ndani ya kanisa hilo ulimwenguni. Anaripoti Joyce Ndeki, Dar es Salaam … (endelea). Tume…
KIMATAIFA SIASA TANGULIZI Mabalozi wa magharibi wataka uchunguzi huru wa mauaji ya 29 Oktoba December 5, 2025 Erasto Masalu BALOZI 16 za nchi za magharibi zimetoa wito kwa Serikali ya Tanzania, kufanyika uchunguzi huru wa matukio ya 29 Oktoba; kuwaachia huru wanaozuiliwa na kukabidhi haraka miili ya waliouawa katika…