Wednesday , 24 April 2024

Habari Mchanganyiko

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaimarisha mfumo utoaji mikopo kwa wanafunzi vyuo vikuu

Benki ya NMB imekamilisha zoezi la kuunganisha mfumo wake mkuu wa kibenki na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...

Habari Mchanganyiko

CTI yapongeza uwekezaji mkubwa kiwanda cha Lodhia Mkuranga

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI), limeiomba serikali na taasisi zake kulinda viwanda vya ndani kwa kununua bidhaa zinazotengenezwa na viwanda hivyo kama...

Habari Mchanganyiko

Mfuko wa SELF ngazi ya ‘kubadilisha maisha’

  MFUKO wa Self unaoendeshwa na Serikali, unakusudia kupanua wigo wa utoaji ukilenga kutimiza idadi ya matawi 20 nchi nzima, hatua inayotokana na...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 23 kizimbani kwa tuhuma za dawa za kulevya

  MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashitaka (NPS) wamewafikisha katika...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa mpunga Madibira wampa tano Rais Samia mradi wa Regrow

  WAKULIMA wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali, Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa Mradi wa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Urusi yamdaka raia wa Korea Kusini kwa ushushushu

Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...

Habari Mchanganyiko

Kibano cha wanaotiririsha majitaka kwenye mvua chaja

SERIKALI imeziagiza halmashauri zote nchini kuweka sheria kali kwa ajili ya kuwashughulikia watu watakaotiririsha maji taka wakati wa mvua, lengo likiwa ni kudhibiti...

AfyaHabari Mchanganyiko

Matende, mabusha tishio Kinondoni, wananchi waitwa kupata kinga tiba

MAGONJWA yasiyopewa kipaumbele ya Mabusha na Matende, bado yanaendelea kusumbua kata 10 za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, kutokana...

Habari Mchanganyiko

AngloGold Ashanti yamuahidi Samia kuwa kinara kuwezesha wanawake sekta ya madini

AngloGold Ashanti ambayo ni kampuni mama ya Geita Gold Mining Limited imemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya...

Habari Mchanganyiko

CBE waja na kozi ya uchunguzi wa rushwa

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebecca Nsemwa, amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kuanzisha kozi ya uchunguzi wa masuala ya  ufisadi...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mpango wa kuajiri mwanamke kushika mimba wafufuliwa

SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...

Habari Mchanganyiko

Kigogo UN ateta na THRDC kuhusu haki za binadamu Tanzania

NAIBU Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Nada Alnashef, amefanya mazungumzo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za...

Habari Mchanganyiko

Wavuvi 9 wanusurika kifo boti ikizama Coco Beach

WATU tisa wamenusurika kufa baada ya boti ya uvuvi ya My Legacy inayomilikiwa na Yakoub Juma, kuzama katika baharini maeneo ya ufukwe wa...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha msaada kisheria Ngorongoro chaita wanaopitia ukatili

KITUO cha Msaada wa Kisheria cha Ngorongoro (NGOLAC)mkoani Arusha, kimewataka wananchi wanaokumbana na matatizo ya ukatili wa kijinsia, wafike ofisini kwao kwa ajili...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Kampuni iliyoshindwa kuingiza mafuta Tanzania, yaamriwa kulipa Bil.24.7

SERIKALI ya Tanzania, imeibwaga Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC, katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC), baada ya kampuni hiyo ya kiarabu...

Habari Mchanganyiko

NEEC, taasisi za wanawake kumpongeza Rais Samia

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na Taasisi mbalimbali za wanawake hapa nchini kesho Jumapili wameandaa hafla maalumu ya...

Habari Mchanganyiko

Waadhimisha siku ya wanawake kwa kulinda vyanzo vya maji

  KATIKA kuandimisha ya siku ya mwanamke duniani yanayofanyika tarehe 8 Machi, kila mwaka, wanawake wa kata ya Kideleko katika halmashauri ya mji...

Habari Mchanganyiko

Puma Tz yakabidhi vifaa tiba vya mil. 6.5 Kogamboni

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imekabidhi msaada wa vifaa tiba vikiwemo vya viti mwendo na mashine za kupima presha vyenye thamani ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia yatoa somo kwa Regrow

  WATAALAM kutoka Benki ya Dunia wanaendesha semina kwa Wataalam wanao simamia utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtuhumiwa wa utapeli, kudhulumu viwanja aburuzwa mahakamani

Mtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya watu na kujimilikisha kinyume na utaratibu jijini Dar es salaam ajulikanae kama Paul Mushi leo Ijumaa...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa viungo walilia sheria

WAKULIMA wanaozalisha mazao ya viungo kwa mfumo wa kilimo hai katika vijiji vya Kizerui na Antakae wilayani Muheza mkoani Tanga wameiomba Serikali kutengezeza...

Habari Mchanganyiko

Hospitali ya Kitonka yamshinda mgonjwa wake mahakamani

HOSPITALI ya Kitonka iliyopo Gongolamboto Dar es Salaam, imeshinda kesi ya uzembe iliyofunguliwa na mgonjwa wake, Mwalu Dege akiidai fidia ya Sh700 milioni...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Mkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na mienendo ya kesi zinazowahusu watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi na kukatisha masomo yao,...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko: Matumizi nishati safi ya kupikia yameanza rasmi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema safari ya matumizi ya nishati safi ya kupikia imeanza rasmi nchini ikiwa...

Habari Mchanganyiko

Wanawake 5 GGML wahitimu mafunzo ya uongozi, Gwajima awafunda

JUMLA ya wafanyakazi watano wanawake kutoka Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu mafunzo ya juu ya uongozi na kutakiwa kutumia elimu...

Habari Mchanganyiko

Saba kizimbani kwa kukutwa na sukari ya magendo na mafuta ya kupikia

  WAKAZI saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi...

Habari Mchanganyiko

Waziri: Tatizo la mmomonyoko wa maadili huanzia kwa wazazi

  WAZIRI Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amewanyooshea kidole wazazi kutokana na mmomonyoko wa maadili kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Anayeidai TRA Mil.986 adaiwa kujiua, msongo wa mawazo watajwa

Mfanyabiashara Ramadhani Ntuzwe ‘Babu Rama’ aliyekuwa akipaza sauti katika vyombo mbalimbali vya habari kwa takribani miaka saba  kwamba anaidai fidia ya Sh 987...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri ampongeza Mkuu wa chuo CBE kwa ubunifu

SERIKALI imeiagiza wenye maabasi nchini kuhakikisha madereva na wahudumu wao wote wa usafiri wa umma nchini wanapata  mafunzo ya namna ya kutoa huduma...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

TEF yaomboleza kifo cha Mzee Mwinyi

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kupokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan...

AfyaHabari Mchanganyiko

Maambukizi ya UKIMWI Lindi yapungua

Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yamepungua katika Manispaa ya Mkoa wa Lindi kutoka asilimia mbili hadi asilimia 1.7 mwaka 2023 hali ambayo imewezesha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mgomo kitita kipya cha NHIF: Serikali yaita hopsitali binafsi mezani

SERIKALI imekiita mezani Chama cha Wenye Hospitali Binafsi (APHFTA), ili kutafuta suluhu ya mvutano wao kuhusu matumizi ya kitita kipya cha gharama za...

Habari Mchanganyiko

Karafuu, Parachichi yawa fursa Morogoro

IMEELEZWA kuwa zao la karafuu ambalo kwa sasa linalimwa pia katika mkoa wa Morogoro limetajwa kuwa miongoni wa zao la kimkakati ambalo linatarajiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Washindi 12 NMB MastaBata na wenza wao wapaa Afrika Kusini

WASHINDI 12 wa kampeni ya kuhamasisha matumizi yasiyohusisha pesa taslimu iliyoendeshwa na Benki ya NMB kwa miezi mitatu ‘NMB MastaBata – Halipoi’ na...

Habari Mchanganyiko

4 wanusurika kifo ajali ya ndege Serengeti

WATU wanne wakiwamo abiria watatu na rubani mmoja wamenusurika kifo katika ajali ya ndege iliyotokea leo Jumatano katika Hifafhi ya Taifa ya Serengeti....

Habari Mchanganyiko

Mafua yamtesa Papa, afuta mikutano

Kiongozi wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis amelazimika kufuta mkutano na waumini mjini Vatican jana Jumatatu asubuhi baada ya kubainika kuwa anasumbuliwa na...

Habari Mchanganyiko

Oryx wagawa mitungi 1000 kwa viongozi wa dini, wajasiriamali Moshi

VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali pamoja na wajasiriamali katika mkoani Kilimanjaro wamepatiwa bure mitungi ya gesi ya Oryx 1000 pamoja na majiko...

Habari Mchanganyiko

RC Geita awafunda wahitimu wapya GGML

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ametoa wito kwa wahitimu wa vyuo vikuu waliojiunga na program ya mafunzo tarajali katika Kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

Biteko asisitiza umuhimu wa EREA sekta ya nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Udhibiti wa huduma za...

Habari Mchanganyiko

Tembo aongoza migongano binadamu, wanyamapori

IMEELEZWA kuwa asilimia 80 ya migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini inahusisha mnyama tembo, huku simba, boko, mamba, fisi na nyati wakichangia...

Habari Mchanganyiko

“Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii”

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limewataka Watanzania kujitokeza kutembelea vivutio vya utalii ili kuongeza mapato ya ndani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari MchanganyikoMichezo

Nje jogging yanyakua medali 20 Kili Marathon

Timu ya riadha ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki – Nje Jogging imeshiriki mashindano ya Mbio za Kimataifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

25 wafariki dunia katika ajali Arusha

Watu 25 wamefariki dunia papo hapo mkoani Arusha katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari matatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...

Habari Mchanganyiko

“Jamii ielimishwe faida za uhifadhi”

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ili kukabiliana na migongano kati ya binadamu na wanyamapori ni vema kwa wadau wote kushiriki kutoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Shahidi aeleza Nathwani alivyomshambulia jirani yake

SHAHIDI ambaye ni fundi Seremala, Dominic Mpakani (43) ameileza mahakama jinsi mtuhumiwa Bharat Nathwan (57) alivyomshambulia jirani yake, Lalit Ratilal kwa kumpiga kichwa...

Habari Mchanganyiko

DCEA, TAKUKURU waunganisha nguvu kupamba na dawa za kulevya, rushwa

  MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imehitimisha mafunzo kwa maafisa waelimishaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mitaala yaandaliwa kukabili uhaba wa watalaam uchimbaji chini ya ardhi

KATIKA kukabiliana na uhaba wa watalaam wa uchimbaji  wa kina kirefu chini ya ardhi (Underground Mine), Chemba ya Migodi Tanzania (TCM) kwa kushirikana...

Habari Mchanganyiko

Nchimbi: Uhusiano wa Tz, Urusi kuboreshwa kunufaisha pande zote

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amesema CCM chini ya Mwenyekiti Rais Samia Suluhu Hassan, itaendelea kudumisha uhusiano...

Habari Mchanganyiko

TMA yatoa tahadhari ya mvua ya Masika

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua za wastani hadi juu ya wastani kwa msimu wa...

Habari Mchanganyiko

ATE yaipongeza GGML kwa kuwapatia mafunzo ya uongozi wanawake 23

CHAMA cha Waajiri Tanzania (ATE) kimeipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuwa mstari wa mbele katika kutoa nafasi za juu...

error: Content is protected !!