
Ian Khama
RAIS wa zamani wa Botswana, Ian Khama amerejea nchini bila kutarajiwa baada ya miaka mitatu ya kukaa uhamishoni, na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka yakiwemo ya kutakatisha fedha na kumiliki silaha kinyume cha sheria. GABORONE, Botswana.
Mzee huyo mwenye umri wa miaka 71 alikuwa amedai hivi majuzi kulikuwa na njama ya kumtilia sumu ikiwa angekanyaga nyumbani kwake.
Serikali ilizitaja tuhuma hizo kuwa za “kuudhi”.
Wafuasi wake waliimba “Jenerali amerejea” wakati Khama akiondoka kwenye mahakama siku ya Ijumaa katika mji mkuu, Gaborone
ZINAZOFANANA
Iran yashambulia kambi za Marekani Qatar, Iraq
Mmoja anusurika kwenye ajali ya Air India
Rais wa zamani wa Zambia Lungu afariki dunia