Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita...

Habari Mchanganyiko

TRAMPA yawajengea uwezo watunza kumbukumbu na nyaraka nchini

Mwenyekiti wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) Devotha Mrope amezindua mafunzo maalumu yanayolenga kujenga uwezo wa kitaaluma kwa wataalamu...

Habari Mchanganyiko

Watu 30 mbaroni tuhuma kughushi nyaraka za mafao kupata fedha NSSF

WATU 30 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kughushi nyaraka za mafao ili kujipatia fedha...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa aagiza menejimenti kutatua changamoto za wafanyakazi wizara ya madini

Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ametoa rai kwa menejimenti ya wizara ya madini kuhakikisha inachukua hatua za dhati katika kutatua changamoto...

Habari Mchanganyiko

Prof. Kabudi afuturisha waumini wa dini y kiislam Kilosa, asisitiza amani

  MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amewataka waumini wa dini kiislam na dini nyingine katika madhehebu tofauti wilayani Kilosa kulinda...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Madini yaja na programu ya kuinua wachimbaji vijana, akina mama

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali itatekeleza programu ya Mining for a Brighter (MBT) kwa lengo la kuwainua wachimbaji wanawake na vijana....

Habari MchanganyikoTangulizi

Meli yenye abiria 27 yazama Ziwa Tanganyika, 17 waokolewa

JUMLA ya abiria 17 kati ya 27 waliozama na meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, wameokolewa huku juhudi za kuendelea kuwatafuta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaua 15 ndani ya wiki moja

WATU 15 wamefariki dunia kuanzia tarehe 1 hadi 7 Aprili 2024, kwa kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari Mchanganyiko

Uswisi, Amend watoa elimu ya usalama barabara kwa bodaboda

ELIMU ya Usalama barabarani inayotolewa na Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania imewafikia madereva bodaboda wa Wilaya ya...

Habari Mchanganyiko

Jua kupatwa leo Aprili 8, 2024, TMA yatoa elimu, Tanzania haitashuhudia

MAMLAKA ya Hali Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya hali ya kupatwa kwa jua tukio linalohusisha kivuli cha mwezi kuangukia juu ya uso wa...

Habari Mchanganyiko

Maafisa wa Regrow watakiwa kuzingatia weredi katika kazi

  MAAFISA wanaotekekeza Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania REGROW wamesisitizwa kuendelea kuteleza majukumu yao kwa kufuta...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aainisha mikakati kumaliza migogoro Mirerani

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...

Habari Mchanganyiko

Dk. Rweikiza atoa futari kwa Misikiti 113 Wilaya ya Bukoba Vijijini

MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza, ametoa chakula kwaajili ya fukari kwa waumini wa dini ya kiislamu kwa Misikiti...

Habari Mchanganyiko

CWHRDs kuweka mikakati kuimarisha harakati za wanawake wanaotetea haki

Mtandao wa wanawake watetezi wa haki za binadamu Tanzania (CWHRDs TZ), umeendesha mkutano wake mkuu uliolenga kuweka mikakati ya kuimarisha harakati za kundi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Silaa awataka watumishi ardhi kuzingatia uadilifu

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kuhakikisha wanawahudumia wananchi kwa uadilifu na upendo...

Habari Mchanganyiko

Kidata awataka watumishi TRA kuzingatia maadili, uaminifu

  KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amewaagiza watumishi wa mamlaka hiyo kuwa mfano bora kwa wengine kwa kuzingatia...

Habari Mchanganyiko

Mil 30 zatumika kujenga tuta la mto Mkundi kusaidia mafuriko kutofikia wakazi wa Dumila

  MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amefanya ukaguzi wa ujenzi wa Tuta la kuzuia maji yanayotapika nje ya Mto Mkundi...

Habari Mchanganyiko

Aweso ahimiza ufungaji wa mita za malipo ya kabla

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiza Mamlaka za Maji Nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Mavunde kufadhili mil. 10 kwa mshindi mashindano ya Quran

Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (CCM) amewataka viongozi wa dini kuhimiza amani, mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania kwa ustawi wa maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya Kilimanjaro One yapongezwa kukuza utalii wa kiutamaduni Bariadi

  MKUU wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga amaipongeza kampuni ya Kilimanjaro one Travel and Tours kwa kuunga mkono kwa vitendo juhudi za...

Habari Mchanganyiko

Wanaohongwa na wapenzi hatarini kwa utakatishaji fedha

WATU wanaopewa fedha na wapenzi wao kwa ajili ya matumizi mbalimbali, wametakiwa kutunza kumbukumbu ili kutojiweka katika hatari ya kufunguliwa kesi za uhujumu...

Habari Mchanganyiko

Tembo 45 warejeshwa hifadhini, Serikali yatoa maagizo

  SERIKALI kupitia wizara ya Maliasili na utalii imezitaka Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero katika...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yafuturisha wabunge, watoto wenye mahitaji maalum Dodoma

WAKATI waumini wa dini ya Kiislamu wakiendelea na mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Benki ya NMB imejumuika na wabunge wa Bunge la...

Habari Mchanganyiko

Balozi Shelisheli, Oryx Gas wagawa mitungi 400 Mkuranga

BALOZI wa Heshima wa Shelisheli nchini Tanzania, Maryvonne Pool kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas, wamegawa mitungi ya gesi 400 kwa wanawake...

Habari Mchanganyiko

BRELA watakiwa kufungua mlango wa kuelimisha umma

MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dk. Sheikh Abubakar Zubeir bin Ali Mbwana ameitaka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni, (BRELA) kutoa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

BoT yatangaza kupanda kwa riba kutoka 5.5% hadi 6%

Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imepandisha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate-CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 72 mbaroni kwa dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ikiwemo Wakala wa Misitu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mama aingukia Serikali akidai kutishiwa maisha kisa kupigania haki yake

BERTHA Mabula Kinungu, mama mjasiriamali mkoani Shinyanga, ameiangukia Serikali akiiomba iingilie kati ili  alipwe fedha zake kiasi cha Sh. 295 milioni, anazodai amedhulumiliwa...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Kapele-Ndalambo warahisishiwa kufika Tunduma

Ukarabati wa barabara ya Kakozi – Ilonga yenye urefu wa kilomita 49.6 umeelezwa kuondoa adha kwa wananchi wa kata ya Kapele na Ndalambo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Watu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba nchi ya Taiwan leo Jumatano...

Habari Mchanganyiko

TRA yatoa taarifa ya makusanyo ya kodi katika robo tatu ya mwaka

  KATIKA kipindi cha robo ya tatu ya Mwaka wa fedha 2023/24, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh. 6.63...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Bangi mpya yatua nchini, Majaliwa aonya watumiaji wanakuwa vichaa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameonya uwepo wa aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kwa jina la ‘Cha Arusha’ pamoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

12 Z’bar walidakwa kwa bangi sio kula hadharani

JESHI la Polisi visiwani Zanzibar, limesema halijawakamata watu 12 kwa sababu ya kula hadharani wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, bali...

Habari Mchanganyiko

Karafuu yageuka neema Morogoro yaingi bil. 36

IMEELEZWA kuwa katika msimu wa 2023 mkoa wa Morogoro umefanikiwa kuzalisha tani 2,000 za karafuu zenye thamani ya Sh bilioni 36. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji awapa mbinu Watz kutunza amani

Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT) Usharika wa Nyakabanga, Johanitha Yona amewataka watanzania na jamii kwa ujumla wake kujenga...

Habari Mchanganyiko

Watano watupwa jela miaka saba kwa wizi wa pombe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mbozi imewahukumu watu watano kifungo cha miaka saba jela kila mmoja kwa kukutwa na hatia ya kuvunja...

Habari Mchanganyiko

TANROAD waanika namna Samia anavyoifungua Morogoro

WAKATI tunaadhimisha miaka mitatu madarakani ya Rais Samia Suluhu Hassan, Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), mkoa wa Morogoro, umefanikiwa kutekeleza miradi miwili mikubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Kikwete aipongeza NBC kwa ukuaji, ushirikiano na wateja

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete ameelezea kuridhishwa kwake na kasi ya ukuaji pamoja na uimara wa taasisi za fedha...

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika Iftar iliyoandaliwa na Kampuni hiyo huku ikitumia nafasi hiyo kuwaomba Watanzania kuendelea kuwaunga...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso la kuwarudishia...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na hivyo...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

MTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuimarisha shughuli zao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000 iliyotolewa na Kampuni ya Taifa Gas...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

UJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou nchini China umeeleza kwamba umeridhia kufanya uwekezaji wa zaidi ya dola za Marekani...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

WANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wako mbioni kuondokana na changamoto ya ukosefu wa maji safi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Kiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza nepi kwa ajili ya watoto wachanga nchini humo na badala yake kitaangazia soko...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Dar, Majaliwa azitaka Serikali za Mitaa, Taasisi zijifunze kwao

BENKI ya NMB imewafuturisha wateja wake walio kwenye Mfungo wa Mwezi Ramadhani jijini Dar es Salaam, pamoja na kutoa misaada kwa vituo vya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

WAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki kutokana na njaa baada ya kupokea maelekezo ya mchungaji mwenye utata Paul McKenzie,...

Habari Mchanganyiko

Simba wapungua kwa asilimia 45 Uganda

WIZARA ya utalii na wanyamapori ya Uganda imesema nchi hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa idadi ya simba kufuatia kupungua kwa asilimia 45...

error: Content is protected !!