
Je unajua kuwa unaweza ukatengeneza pesa kubwa ubashiri mechi zako zote na Meridianbet?. Ligi ya Mabingwa kuendelea huku mechi hizo zikiwa na ODDS KUBWA kabisa. Ingia kwenye akaunti yako na usuke mkeka wako wa maana.
Mapema kabisa vijana wa Hans Flick, FC Barcelona baada ya kupoteza mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Olympiacos ya kule Ugiriki. Wageni hao kwenye mechi mbili walizocheza wameambulia pointi 1 pekee. Mara ya mwisho kukutana ilikuwa 2017 na walitoa suluhu. Je nani kushinda mechi hii?. Bashiri sasa.
Mechi kali ya kukata na shoka itakuwa ni hii ya Arsenal vs Atletico Madrid huku kila mmoja akiwa anahitaji kupata ushindi huu mnono. The Gunners chini ya kocha mkuu Mikel Arteta wameshinda mechi zote mbili, huku Simeone na vijana wake wakipata pointi 3 tuu kwenye mechi mbili. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS za kibabe sana hivyo ingia na usuke jamvi hapa.
Tusua mkwanja mrefu kwa kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Nao PSG baada ya kupata ushindi mkubwa mechi yao iliyopita, safari hii watakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Bayer Leverkusen ambao wao walitoa sare. Pale Meridinabet nafasi kubwa ya ushindi amepewa Luis Enrique na vijana wake . Je wewe pesa yako unaiweka wapi kwenye hizi timu mbili?. Tengeneza jamvi hapa.
Unaweza ukabashiri mechi nyingine kali ya Newcastle United vs Benfica kutoka kule Ureno ambao mpaka sasa hawana pointi yoyote ili baada ya kupoteza mechi zote mbili. The Magpies wao wana pointi 3 tuuh hadi sasa huku wakitazamia ushindi kwenye mechi hii pia. Nani kukupatia ushindi mnono leo?. Jisajili hapa.
Napoli wao watasafiri kukiwasha dhidi ya PSV ambao walitoa sare mechi yao iliyopita wakiwa nyumbani. Tofauti ya pointi kati yao ni 2 pekee huku vijana wa Conte wakihitaji ushindi huu mara moja ili kujiweka kwenye nafasi nzuri. Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho kukutana ilikuwa 2012 ambapo Napples walipoteza. Je wataweza kulipa kisasi?. Beti hapa.
Katika dimba la Estadio de la Ceramica, kule Hispania kutakuwa na mtanange mwingine kati ya Villarreal dhidi ya Manchester City kutoka Uingereza. City mechi iliyopita walitoa sare huku wenyeji wao pia walitoa sare. Kwahiyo pointi 3 ni muhimu kwa timu zote mbili. Bashiri sasa.
ZINAZOFANANA
Piga pesa na Meridianbet siku ya leo
Nafasi ya kushinda mamilioni ipo Meridianbet
Meridianbet yaleta moto wa ubashiri kwa mechi kali za Ulaya