February 2, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Chukua chako na Meridianbet Jumamosi ya leo

Wikendi ndiyo hiyo imefika ya wewe kuondoka na mkwanja wa maana kabisa ambapo leo hii ligi kibao zinaendelea na pale Meridianbet wanakwmabia kuwa nafasi ya wewe kupiga mshindo ni kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.

Tukianza na ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii mapema kabisa Nottingham Forest baada ya kupokea kichapo cha maana mchezo wake uliopita, leo hii atakuwa mwenyeji wa Brighton ambao nao walipigika wakiwa nyumbani. Tofauti ya pointi kati yao ni 10 huku Meridianbet wakimpa nafasi ya kushinda mwenyeji kwa ODDS 2.65 kwa 2.75. Jisajili hapa.

Hapo baadae Newcastle United atakipiga dhidi ya Fulham ambapo mechi ya mwisho kukutana, vijana wa Eddie Howe walipigika vibaya mno. Leo hii wanataka kulipa kisasi wakiwa nyumbani kwako. Je wageni watawazuia?. Beti mechi hii yenye ODDS 1.72 kwa 4.80.

Kwa upande wa kinara wa ligi Liverpool atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya AFC Bournemouth ambao wapo nafasi ya 7 huku wakiwa wamepitwa nyuma pointi 10. Mechi ya mkondo wa kwanza kukutana, Jogoo aliondoka na ushindi. Je leo hii Arne Slot ataendeleza ubabe wake?. 4.60 kwa 1.70 ndio ODDS za mechi hii. Suka jamvi hapa.

Jumamosi ya leo unayo nafasi ya kupiga pesa. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Poker, Super Heli, Roullette, Aviator, Wild Icy Fruits, Keno na mingine kibao.

Kule LALIGA vilevile mechi za pesa zipo zinaendelea Getafe atamenyana dhidi ya Sevilla ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda mwenyeji kwa ODDS 2.45 kwa 3.45. Jisajili hapa.

Nao vijana wa Diego Simeone Atletico Madrid baada ya kutoa sare mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa pale Civitas Metropolitano kusaka pointi 3 dhidi ya Mallorca ambao wao nafasi ya 7 wakiwa na pointi zao 30. Simeone na vijana wao pale Meridianbet ndio wanaopendelewa kushinda mechi hii wakiwa na ODDS 1.42 kwa 9.60. Bashiri sasa.

Na usiku wa saa 5:00 Real Madrid watakuwa ugenini dhidi ya Espanyol Barcelona ambao wapo nafasi ya 3 kutoka mwisho huku wakikumbuka mara ya mwisho kukutana na vijana wa Carlo walipigika sana. Kushinda leo hii wamepewa ODDS 7.80 kwa 1.38. Tengeneza jamvi hapa.

Ligi kuu ya Italia SERIE A ni ya moto sana leo ambapo Udinese Calcio atamleta kwake Venezia ambao wapo nafasi ya pili kutoka mwisho kwenye msimamo wa ligi mpaka sasa wakiwa wameshinda mechi 3 pekee hadi sasa. Mechi hii imepewa ODDS 1.85 kwa 4.80. Bashiri hapa.

Pia nao vijana wa Gasperini Atalanta watakuwa uso kwa uso dhidi ya Torino huku mtanange wa mwisho kuonana mgeni alishinda hivyo ni nafasi ya mwenyeji naye kuonyesha makali yake. Meridianbet imempa nafasi ya ushindi Atalanta kwa ODDS 1.50 kwa 6.80. Jisajili hapa.

Bologna vs Como 1907 ni mechi ya kibabe sana ambayo kila timu inahitaji ushindi leo hii. Tofauti ya pointi kati yao ni 12 pekee huku mtanange huu ukipewa ODDS 1.86 kwa 4.80. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.

Halikadhalika BUNDESLIGA kule Ujerumani itavurumishwa Bayern Munich ambaye ndiye kinara wa ligi hiyo atakuwa Allianz Arena kumenyana dhidi ya Holstein Kiel ambao wana pointi 12 pekee wakishinda mechi zao 3 pekee. Mechi ya mkondo wa kwanza walipokutana, Bayern alishinda kwa kishindo. Mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000. Bashiri hapa.

Mtanange wa pesa mwingine ni huu wa VFL Bochum dhidi ya Freiburg ambapo mechi ya kwanza kuonana, mgeni aliondoka na ushindi. Mwenyeji ndiye kibonde wa ligi hiyo akiwa ameshinda mechi mbili pekee huku mgeni wake akiwa nafasi ya 10. ODDS za mechi hii ni 2.80 kwa 2.60. Tandika mkeka hapa.

Union Berlin watakuwa wenyeji wa RB leipzig ambao wapo nafasi ya 5 huku mwenyeji yeye akiwa nafasi ya 14. Kila timu inahitaji ushindi leo hii kalini Meridianbet wao wanampa nafasi kubwa ya ushindi RB kwa ODDS 2.45 kwa 2.90. Jisajili hapa.

About The Author

error: Content is protected !!