BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO RITA yapokea madai 248 kutoka kwa wadai mbalimbali wa kampuni ya Pride March 26, 2026 Erasto Masalu WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imepokea madai 248 kutoka kwa wadau na taasisi mbalimbali kwa iliyokuwa kampuni ya kukopesha fedha ya Pride Tanzania ili waweze kuchakata na kubaini…
KIMATAIFA Museveni aelezea chakula kilichomsaidia kupunguza uzito kwa kilo 30 March 25, 2026 Erasto Masalu “LISHE ya mihogo, viazi vitamu na mboga za asili zimenisaidia kupunguza kilo 30,” ameeleza Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amenukuliwa na Idhaa ya Kiswahili ya BBC. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar…
BIASHARA Airtel Africa plc yafanikiwa majaribio yake ya huduma data, ujumbe (SMS) kupitia Starlink March 25, 2026 Erasto Masalu AIRTEL Africa kwa kushirikiana na SpaceX wametangaza kufanikiwa kwa majaribio ya huduma za data na ujumbe (SMS) kupitia Starlink Mobile nchini Kenya, hatua muhimu inayofungua njia ya kuleta mawasiliano ya…
BIASHARA Shinda Samsung A26 leo Jumatano kwa kubashiri rahisi kupitia *149*10# March 25, 2026 Erasto Masalu Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii…
BIASHARA Mzunguko mmoja tu wa Vaso Psycho na story yako inabadilika March 25, 2026 Erasto Masalu Kama unatafuta mchezo utakaokupa msisimko wa kweli na nafasi ya ushindi mkubwa, basi Vaso Psycho kutoka Expanse ndani ya Meridianbet ndio jibu. Huu ni mchezo uliobuniwa kwa kizazi kipya cha…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mwamoto, Kabati walimlilia Lukuvi March 25, 2026 Erasto Masalu MBUNGE wa zamani wa Kilolo (CCM), Venance Mwamoto, amemtaja hayati William Lukuvi, aliyefariki dunia leo asubuhi (tarehe 25 Machi 2026), kwamba ndiye aliyemungiza bungeni. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Mipango mbioni kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha nchini March 25, 2026 Erasto Masalu SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Biashara ( TNBC) imesema kuwa mipango ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha (IFC) hapa nchini ili kuvutia uwekezaji wa fedha…
BIASHARA Bashiri na Meridianbet ushinde Samsung A26 leo March 24, 2026 Erasto Masalu Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia fursa leo hii ujinyakule zawadi hii kutoka Meridianbet. Katika msimu…
BIASHARA Ruby Play kukutoa kwenye kucheza hadi kushinda kwa Meridianbet March 24, 2026 Erasto Masalu Kuna wakati mmoja tu unapokutana na burudani inayobadilisha kila kitu, na huo ndio wakati huu ndani ya Meridianbet. Kupitia ushirikiano wake mpya na Ruby Play, wachezaji sasa wanaingia kwenye ulimwengu…
HABARI ZA MICHEZO Inter kubeba Scudetto kule Italia? March 23, 2026 Erasto Masalu Ligi kuu ya Italia, yaani SERIE A inazidi kupamba moto huku vinara wa ligi hiyo Inter Milan wakipigiwa chapuo la kuchukua taji hilo baada ya kuwa na mwendelezo mzuri wa…