Wanafunzi wa darasa la saba wakifanya mtihani
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika kuanzia tarehe 10 Septemba 2025. Anaripoti Zakia Nanga, Dar es Salaam … (endelea).
Matokeo hayo yametangazwa leo, Jumatano tarehe 5 Novemba 2023 na Katibu Mtendaji wa Necta, Profesa Said Ally Mohamed.
Jumla ya watahiniwa 1,172,279 walifanya mtihani huo kati ya hao wavulana ni 535,138 sawa na asilimia 45.65 na wasichana ni 637,141 sawa na asilimia 54.35.
INGIA HAPA KUPATA MATOKEO KAMILI
ZINAZOFANANA
RITA yavunja bodi ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato
Kesi ya Lissu yasimama, Serikali yakimbilia Mahakama ya Rufaa
Wafanyabiashara Shinyanga watakiwa kushiriki zoezi la elimu ya mlipa kodi