JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kuwa amedokezwa na mmoja wa maofisa wa Jeshi la Polisi kuwa John Heche, Makamu mwenyekiti wa Chama hicho yupo Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
“Jana tumepata uhakika kwamba yupo Dodoma, amefikiwa na mmoja wa wanafamilia …Leo nimepata taarifa kwamba mchana huu ofisa wa idara ya uhamiaji amefika pale kituo cha polisi cha Dodoma kwa ajili ya kumhoji Makamu Mwenyekiti wetu ”
Mnyika, ametoa wito kwa jeshi la Polisi kutoa taarifa kwa umma alio Heche, na hali yake “hivi ni visingizio vya kutaka kuendelea kumshikiri kuelekea tareje 29 na baada ya tarehe 29 Oktoba”.
ZINAZOFANANA
Mtihani mpya wagubika kesi za uwakilishi
Tanzania kujisogeza Ulaya, Zungu apiga hodi Serbia
TAMISA yataja maeneo 20 muhimu ya ‘kupiga pesa’ kwenye madini