JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kuwa amedokezwa na mmoja wa maofisa wa Jeshi la Polisi kuwa John Heche, Makamu mwenyekiti wa Chama hicho yupo Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
“Jana tumepata uhakika kwamba yupo Dodoma, amefikiwa na mmoja wa wanafamilia …Leo nimepata taarifa kwamba mchana huu ofisa wa idara ya uhamiaji amefika pale kituo cha polisi cha Dodoma kwa ajili ya kumhoji Makamu Mwenyekiti wetu ”
Mnyika, ametoa wito kwa jeshi la Polisi kutoa taarifa kwa umma alio Heche, na hali yake “hivi ni visingizio vya kutaka kuendelea kumshikiri kuelekea tareje 29 na baada ya tarehe 29 Oktoba”.
ZINAZOFANANA
TRA yawataka wanachama wa SACCOS kuhamasisha ulipaji kodi
Mwanasheria wa kimataifa ataka Tanzania isifukuzwe Jumuiya ya Madola
Mwabukusi amuonya RC Chalamila, amtaja sakata la 29 Oktoba