TAARIFA iliyotolewa na Hamas imesema kuwa Haniyeh ameuawa katika shambulio lililofanywa na Wazayuni (Israel) mjini Tehran, Iran. Inaripiti Mitandao ya Kimaraifa.
Katika taarifa yake Jumatano asubuhi, Hamas ilisema Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake
Wanajeshi wa Israel na viongozi wakuu ndani ya serikali yake bado hawajajibu madai hayo.
ZINAZOFANANA
Kesi ya uhaini ya Lissu kusikilizwa siku 26 mfululizo
Mvutano wa kisheria wagubika Mahkama ya Z’bar
Hatuwezi kuongeza maslahi ya majaji kwa sasa – Samia