
TAARIFA iliyotolewa na Hamas imesema kuwa Haniyeh ameuawa katika shambulio lililofanywa na Wazayuni (Israel) mjini Tehran, Iran. Inaripiti Mitandao ya Kimaraifa.
Katika taarifa yake Jumatano asubuhi, Hamas ilisema Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake
Wanajeshi wa Israel na viongozi wakuu ndani ya serikali yake bado hawajajibu madai hayo.
ZINAZOFANANA
Vigogo watetea nafasi zao za ubunge ndani ya CCM
Mawakili wa Lissu wakemea manyanyaso dhidi ya mteja wao
Nani kapita, nani katemwa ubunge CCM?