Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bahari kwa ajili...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2024Waingereza milioni 50 wanatarajiwa kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu leo Alhamisi, huku kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour akitabiriwa kumbwaga waziri mkuu...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2024RAIS wa Marekani, Joe Biden amekataa kujitoa kwenye uchaguzi wa Novemba, wakati kukiwa na shinikizo kumtaka ajitoe kwenye kinyang’anyiro hicho baada ya kushindwa...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2024Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kupitia mkakati wake wa kujitanua katika mikoa...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA)...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza Serikali itaendelea kumpa ushirikiano wa dhati Rais mpya wa Baraza la Maaskofu Tanzania...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema katika kipindi cha mwaka huu kuanzia Januari kumetokea matukio manane ya utekaji na...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024Unaijua Kasino? Kuna mchezo unaitwa Super Heli naAviator inafanya poa sana, lakini nikwambie tu MeridianbetKasino ya Mtandaoni kuna sloti moja inatema hela kamamashine...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvivu, Alexander Mnyeti, amemtaka Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa, Sultan Saleh...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024SPIKA wa Bunge la Kitaifa nchini Kenya, Moses Wetang’ula, amekalia kiti cha moto baada ya baadhi ya wabunge kumtaka ang’atuke kutokana na mtindo...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Japan Kidata kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya...
By Gabriel MushiJuly 2, 2024Mashindano ya Cash Days yanapatina Meridianbet kwenye Kasino ya mtandaoni ambapo, ukicheza michezo inayoshindaniwa unajiweka kwenye nafasi nzuri ya kushinda mgao wa...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi wamekubaliana kuanzisha sasa kituo kimoja cha forodha Mtambaswala...
By Gabriel MushiJuly 2, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye binafsi atabeba gharama zote za matibabu ya kijana Edgar Mwakabela, maarufu kama Sativa anayedaiwa kutekwa, kuteswa na...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024WAKATI vijana wa Kenya wakitekeleza kile walichomuahidi Rais wa taifa hilo, Wiliam Ruto kwamba wanarejea kwenye maandamano kuanzia leo Jumanne, awamu hii wamekuja...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Saidi Yakubu, leo Jumanne amewasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Nchi hiyo, Azali Assoumani ambapo wamepata pia...
By Gabriel MushiJuly 2, 2024Kampuni ya Kobe Motor ya Japan imesema itaendelea kujitanua zaidi katika soko la Tanzania kutokana na kukua kwa mahitaji ya magari ya aina...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024KAMPUNI ya World Exchange Company Limited (WEXCO), kwa kushirikiana na Quality Beverages ya Mauritius, wanatarajia kuanza kuingiza nchini siagi yenye virutubisho nane na...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024SERIKALI ya Ukraine imefanikiwa kutibua njama za kuipindua serikali ambayo imekuwa hasimu mkubwa wa Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Taarifa iliyotolewa na...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024TOFAUTI za kimtizamo kati ya Rais William Ruto na Naibu wake Rigathi Gachagua zimeendelea kuonekana wazi baada ya wawili kukinzana kuanzia Jumapili tarehe...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024VIJANA wa Kenya waliojipachika jina la Generation Z (Gen Z) wameanza tena maandamano leo Jumanne katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo hususani katika...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024WAKATI wafanyabiashara nchini wakiweka mgomo wa siku tatu kupinga makadirio makubwa ya kodi na mifumo isiyo rafiki ya ukusanyaji wa kodi, Mamlaka ya...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2024Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) umewataka watumishi wanaotarajiwa kustaafu kuanza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa zao za msingi...
By Gabriel MushiJuly 2, 2024MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kazi nzuri...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Morogoro inatarajia kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27 kwa kutozingatia matumizi ya mashine za Kielektroniki (EFD). Anaripoti Christina...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024MWAKILISHI wa Mtandao wa vijana wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania Cyprian Komba amewataka vijana kujitokeza kupima Virusi vya UKIMWI ili kukabiliana...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk.Pindi Chana ameagiza ofisi za wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi za...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024MITIZAMO ya kisiasa kuhusu ugumu wa mtu kuwa mwanachama wa chama cha upinzani hususani Chadema imewagonganisha Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024Shirika la Reli Tanzania – TRC limetangaza mabadiliko ya ratiba na ongezeko la safari za treni za reli ya kiwango cha kimataifa –...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi kesho tarehe 2...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2024Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema....
By Faki SosiJuly 1, 2024