Elimu
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza kufuta matokeo yote ya watahiniwa 214 waliofanya udanganyifu katika upimaji kitaifa wa darasa la nne,...
By Kelvin MwaipunguJanuary 15, 2022Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku yakionesha somo la Basic Mathematics ndilo...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2022Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku mkoa wa Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2022Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kidato cha nne 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2022SHIRIKA la Light for the Word, limeitaka jamii ya Kitanzania kushirikiana kwa pamoja kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi ikiwemo za macho na...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2021BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa msaada wa mifuko ya saruji 920 (sawa na tani 46) yenye thamani ya sh milioni...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2021MWENYEKITI wa bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania, Stephen Wasira amewataka wahitimu wa chuo hicho kuangalia fursa zitakazowasaidia katika maisha...
By Mwandishi WetuNovember 26, 2021JUMLA ya wanafunzi 907,802 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu wamechaguliwa kujiunga na kidato cha mwaka mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi...
By Masalu ErastoNovember 24, 2021MKUU wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, Prof Shadrack Mwakalila amewataka wanafunzi wa chuo hicho kujiepusha na...
By Mwandishi WetuNovember 24, 2021SERIKALI imesema imeamua kuondoa vikwazo vya elimu hususani kwa wasichana ambao wamekatisha masomo yao kwa kukumbwa na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito....
By Danson KaijageNovember 24, 2021MKUU wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutupia jicho elimu ya juu kwani ina...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2021JUMLA ya watumishi waandamizi 18 wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara kutoka...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Hassan amewatakia kheri wanafunzi wa kidato cha nne, walioanza mitihani yao ya Taifa leo Jumatatu tarehe...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limeagiza kurudiwa upya kwa mitihani iliyovuja ya utabibu ndani ya wiki sita kuanzia tarehe...
By Danson KaijageNovember 4, 2021MIKOA ya Lindi, Mara na Dodoma, imetajwa kinara kwa kuwa na kiwango kikubwa cha ufaulu wa mtihani wa darasa la saba, katika...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limefuta matokeo ya watahiniwa 393, waliobainika kufanya udanganyifu wakati wa kufanyika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi....
By Regina MkondeOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limesema asilimia 81.97 ya wanafunzi 1,107,460, waliotunukiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba, uliofanyika tarehe 8...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) mwaka 2021....
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA) kinalaani tukio la Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Peter Mswahili kutuhumiwa kujihusisha na mahusiano...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2021WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imepanga kutumia mabilioni ya fedha zilizotokana na Mpango wa Serikali wa Kuinua Uchumi na Kukabiliana na...
By Regina MkondeOctober 23, 2021BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa mwaka wa...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu nchini humo (TCU) kuwachukua hatua taasisi...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuna fedha ambayo ameipata na sasa anatarajia kushirikiana na halmashauri zenye uwezo kifedha kujenga madarasa 15,000 nchi...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2021SERIKALI ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuendeleza ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi (Veta) kwa kila halmashauri. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 18, 2021SERIKALI imepanga wa kuongeza upanuzi wa shule 100 ili ziwe na uwezo wa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Anaripoti...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2021SERIKALI imeahidi kushirikiana na kuunga mkono jitihada za kampuni ya Mawasiliano ya Huawei katika kuweka mkazo zaidi na kuwaendeleza wanawake katika sekta ya...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2021MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameitaka Serikali kutoa mikopo kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita kama ilivyo kwa wanafunzi...
By Masalu ErastoSeptember 3, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeweka mkakati mpya kwa wanafunzi waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kuwawezesha kuwaendelea kimasomo. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo … (endelea)....
By Masalu ErastoSeptember 2, 2021BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa wiki mbili kwa wanafunzi ambao hawajakamilisha maombi ya mkopo...
By Masalu ErastoSeptember 1, 2021Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika Halmashauri ya Wilaya...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2021MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imetupilia mbali mapingamizi ya Serikali, katika kesi Na. 16/2021, iliyofunguliwa na Alexandra Bakunguza, kupinga elimu ya juu kutolewa...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana waliopata ufadhili wa Serikali kupitia programu maalum ya kupata mafunzo ya ufundi stadi watumie...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, imevitaka vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu kufanya mapitio ya mitalaa ili iweze...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amekaidi kutii agizo la Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, la kuzuia...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2021TAKRIBANI mambo tisa, yameibuka katika mkutano wa wadau, wa kujadili namna ya uboreshaji mitaala ya elimu nchini Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJune 18, 2021SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kufanya maboresho ya mitaala ya elimu ya msingi, vyuo vya kati na ufundi stadi pamoja na vyuo...
By Regina MkondeJune 18, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wakurugenzi wa halmashauri zote nchini (DED), kuhakikisha wanafufua madarasa kwa ajili ya Mpango wa Elimu...
By Masalu ErastoJune 9, 2021HUSNA Sekiboko, mbunge wa viti maalum, aiomba Serikali ya Tanzania, kufanya marekebisho ya mtaala wa elimu ya msingi na sekondari. Anaripoti Jemima...
By Masalu ErastoJune 4, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), liongeze juhudi katika usimamizi wa taasisi na...
By Masalu ErastoMay 28, 2021MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Nusrat Hanje, amefikisha bungeni kilio cha wahitimu wa darasa la saba, wanaosoma katika Vyuo vya Ufundi...
By Masalu ErastoMay 27, 2021WAZIRI wa Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, amekiri uwepo wa tatizo la ukosefu wa ajira za ualimu nchini, akisema kwamba, nafasi zinazotolewa...
By Regina MkondeMay 25, 2021SERIKALI ya Tanzania, imepanga kuboresha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu, kwa kukarabati na kujenga miundombinu mipya pamoja na kuongeza...
By Masalu ErastoMay 7, 2021WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako amebainisha vipaumbele vitakavyofanyiwa kazi mwaka wa fedha 2021/22, ikiwemo kufanya mapitio...
By Mwandishi WetuMay 4, 2021WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imesema, tozo ya asilimia sita inayotozwa kila mwaka na Bodi ya Mikopo ya Elimu...
By Mwandishi WetuMay 4, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 250 milioni kwa ajili ya kukamilisha maboma matano ya Zahanati ya Minyeye, Mnung’una na Msikii katika Wilaya...
By Masalu ErastoMay 3, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.7.15 bilioni, kwa ajili ya kutengeneza madawati 710,000 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 yatakayotumika shule za msingi. Anaripoti...
By Masalu ErastoApril 30, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, itaanzisha mashindano ya uandishi wa Insha kuhusu masuala ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ili kuwawezesha vijana kufahamu...
By Mwandishi WetuApril 26, 2021SERIKALI ya Tanzania inaendelea na ukarabati wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi, unaogharimu Sh. 605.2 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 20, 2021KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania amesema, ujuzi wa vijana utaangaliwa zaidi badala ya kuangalia viwango vya elimu yao. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuApril 17, 2021CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimegomea uanzishwaji wa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu kwa madai, imelenga kumkandamiza mwalimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageApril 13, 2021