BIASHARA Pirates Power inakukaribisha baharini kuusaka utajiri April 11, 2026 Erasto Masalu Wakati umefika wa kuzamia na kubadilisha bahati yako kwa mtindo wa kipekee. Pirates Power kutoka Meridianbet inakupa nafasi ya kuingia kwenye dunia ya mabaharia, ambapo kila dau linaweza kukugeuza kuwa…
SIASA TANGULIZI Chadema yateta na Rais Dk. Chakwera April 10, 2026 Erasto Masalu VIONGOZI wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekutana na Mjumbe aliyetumwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola nchini, Dk. Dk. Lazarus Chakwera, leo Ijumaa, tarehe 10 Aprili.…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI ACT-Wazalendo yampa mazito Chakwera April 10, 2026 Erasto Masalu CHAMA cha ACT- Wazalendo, kimewasilisha taarifa yake ya tathmini ya kina kuhusu hali ya kisiasa, mwenendo wa uchaguzi mkuu wa 29 Oktoba, pamoja na athari zake kwa demokrasia, haki za…
SIASA TANGULIZI Mutungi akutana na Chakwera April 10, 2026 Erasto Masalu MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amekutana kwa mazungumzo na Dk. Lazarus Chakwera, mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar…
HABARI ZA MICHEZO Nini hatma ya Wolves EPL? April 10, 2026 Erasto Masalu Kule Uingereza, ligi kuu inaendeleza kupamba moto huku baadhi ya timu zikiwa zinapigania nafasi ya kubakia kwenye ligi huku zingine zikiwa zinataka nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa. Ijumaa ya…
BIASHARA Spinning Buddha ni pesa ya wazi kwako mbashiri April 10, 2026 Erasto Masalu Kama ulikuwa unasubiri ishara ya kuingia kasino, basi hii ndio yenyewe. Spinning Buddha imetua Meridianbet ikiwa na shangwe mpya kabisa, burudani, wepesi wa kucheza na nafasi za kushinda bila mambo…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mwaka mmoja wa Lissu gerezani April 9, 2026 Erasto Masalu NI mwaka mmoja umepita, tangu kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (Chadema), Tundu Lissu, kukamatwa na kushikiliwa gerezani kwa tuhuma za uchochezi na uhaini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar…
HABARI ZA MICHEZO Kati ya hawa wanne mmoja ni Bingwa wa Europa April 9, 2026 Erasto Masalu Ni Europa League hatua ya Robo Fainali ambapo wababe wanne wanatafuta nafasi ya kufuzu Nusu Fainali. Je nani kuondoka na furaha mwisho? Mapema kabisa tutashuhudia mechi ya moto kule SC…
BIASHARA Book of Eskimo inakulipa utakavyo, njoo ujikadirie April 9, 2026 Erasto Masalu Saa ya kuchukua hela imefika sasa. Meridianbet wameachia Book of Eskimo, mchezo mpya unaowafanya wabashiri kuingia kwenye hatua nyingine ya ushindi. Kama unatafuta burudani yenye pesa ya kweli, basi hapa…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mchunguzi wa 29 Oktoba awasili nchini April 9, 2026 Erasto Masalu MJUMBE maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Dk. Lazarus Chakwera, tayari amewasili nchini. Anaripoti Saed Kubenea, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa za kuwasili nchini kwa rais wa…