Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba
WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, anatarajiwa kuongoza mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Waziri na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi. Anaripoti Mwandshi Wetu, Dodoma … (endelea).
Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, wakati alipozungumza na waandishi wahabari nyumbani kwa marehemu maeneo ya Gangilonga manispaa ya Iringa.
RC James amesema mwili wa marehemu utawasili mkoani Iringa Mach 29 majira ya saa 11alasiri kupitia Uwanja wa Ndege wa Nduli.
ZINAZOFANANA
Lukuvi atakumbukwa kama nguzo muhimu wa familia
Meridianbet yaweka alama muhimu kwa kuwakumbuka wagonjwa waliolazwa
NBC yahitimisha Kampeni Kuhamasisha Kilimo cha Korosho Tandahimba, yakabidhi trekta kwa TANECU