August 28, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Mahakama yakubali Chadema kumshitaki Msajili, yazuia kutowatambua viongozi wake

Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Amani Golugwa

 

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Manyara, imetoa zuio la utekelezaji wa amri ya msajili wa vyama vya siasa ya kuzuia ruzuku ya Chama cha Chademokrasia na kutowatambua viongozi waliothibitishwa na baraza Kuu la Chama hicho lilofanyika tarehe 22 Januari 2025. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Msajili wa vyama vya siasa aliteungua uteuzi wa John Mnyika Kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Amani Golugwa, Naibu Katibu Mkuu, Dk. Rugemaliza Nshala Mwanasheri Mkuu, Gobless Lema Mjumbe wa Kamati Kuu, Rose Mayemba na wengine.

Chadema kiliwakilishwa na mawakili wawili wa kujitegemea, Mpale Mpoki na Nyaronyo Kicheere.

About The Author

error: Content is protected !!