October 16, 2024

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Homa ya burudani: Mambo yapamba moto wakati Diamond akijiandaa na OktobaFest

1728459898760160

Serengeti Oktoberfest imerudi tena kwa kishindo! Mwaka jana, Supastaa Diamond Platnumz aka Chibu Dangote aliwaimbisha zaidi ya wauhudhuriaji 10,000 Kenya na kunogesha experience nzima ya burudani, bia na mizuka.

Mwaka huu, inasemekana anarudi tena kukinukisha kwenye steji hii kubwa Afrika Mashariki. Je, tutegemee kumuona tena akiangusha steji ndani ya Kenya, Uganda au nyumbani kwao Tanzania?

Mambo yanazidi kuwa mambo kwenye steji hii ya kipekee ya burudani. Endelea kutufuatilia kufahamu mwaka huu nini kitatokea #SerengetiOktobaFest2024 #DiamondPlatnumz #ThisIsHowWeDo

About The Author