
Serengeti Oktoberfest imerudi tena kwa kishindo! Mwaka jana, Supastaa Diamond Platnumz aka Chibu Dangote aliwaimbisha zaidi ya wauhudhuriaji 10,000 Kenya na kunogesha experience nzima ya burudani, bia na mizuka.
Mwaka huu, inasemekana anarudi tena kukinukisha kwenye steji hii kubwa Afrika Mashariki. Je, tutegemee kumuona tena akiangusha steji ndani ya Kenya, Uganda au nyumbani kwao Tanzania?
Mambo yanazidi kuwa mambo kwenye steji hii ya kipekee ya burudani. Endelea kutufuatilia kufahamu mwaka huu nini kitatokea #SerengetiOktobaFest2024 #DiamondPlatnumz #ThisIsHowWeDo
ZINAZOFANANA
Rais Samia atembelea tawi jipya la Benki ya NBC Ubungo katika kituo Cha Biashara Kimataifa
Mystery Multiplier, mlango mpya wa bahati kutoka Meridianbet
Spinoleague 2025, Safari mpya ya ushindi kwa wapenda sloti nchini Tanzania