Azali Assoumani
RAIS wa Comoro, Azali Assoumani amejeruhiwa katika shambulio la kisu, mamlaka zimesema.
“Asante Mungu, maisha yake hayako hatarini,” amesema msemaji wa serikali. MORONI, Comoro
Alidungwa kisu alipokuwa akihudhuria mazishi ya kiongozi wa kidini karibu na mji mkuu Moroni lakini “alijeruhiwa kidogo” na amerejea nyumbani, msemaji Fatima Ahamada aliambia shirika la habari la Reuters.
Aliongeza kuwa mshambuliaji alikamatwa.
ZINAZOFANANA
Tume.yamtangaza Museven mshindi Urais Uganda
Watu 100 wameuawawa shambulio la kukamatwa Maduro
Kiongozi wa kijeshi Burkina Faso anusuruka kuuawa