Humphrey Polepole
MAWAKILI wa Humphrey Polepole walioongozwa na Peter Kibatala wamefungua kesi yenye maombi maalum kwa niaba ya Polepole katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam ya kuzitaka mamlaka husika kumfikisha mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Jana tarehe 6 Oktoba taarifa za kutekwa kwa mwanadiplomasia huyo nyumani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Leo tarehe 7 Oktoba Kibatala na mawakili wenzake wamfungua maombi kwenye mahakama hiyo ya kuwataka
Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam (ZCO) na Kamanda wa Polis Kanda Maalum Dar es Salaam (ZPC), kuhakikisha polepole anafikishwa mahakamani.
ZINAZOFANANA
Wavumbuzi Vijana wa Tanzania Waongoza Mapambano ya Tabianchi
Gwajima acharuka tena, akemea utekaji
Mahakama: Hakuna ushahidi Polepole anashikiliwa na IGP na wenzake