
MAKADINALI kutoka kwenye kanisa la Sistine huko Vatican, wamemchagua Kardinali Robert Fancis Prevoat kutoka nchini Marekani kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki Duniani (Papa). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Kardinal Robert mwenye umri wa miaka 69, atafahamika kama Papa Leo XIV, kufuatia kuchagua jina hilo.
Kardinalo huyo, anatokea Chicago nchini Marekani, na hadi kuchaguliwa kwake alikuwa akihudumu kama mkuu wa Dicastery wa kanisa kwa Maaskofu.
Prevost ametumia muda wake mwingi akitumikia nchini Peru, na ana uraia wa Marekani na Peru.
ZINAZOFANANA
Bunge la Ulaya laitaka Tanzania kumuachia huru Lissu
Chatanda ashuhudia utiaji saini wa Bil 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji
NBC yaitambulisha “NBC Shambani’’ kwa wakulima wa Ufuta Pwani