Ian Khama
RAIS wa zamani wa Botswana, Ian Khama amerejea nchini bila kutarajiwa baada ya miaka mitatu ya kukaa uhamishoni, na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka yakiwemo ya kutakatisha fedha na kumiliki silaha kinyume cha sheria. GABORONE, Botswana.
Mzee huyo mwenye umri wa miaka 71 alikuwa amedai hivi majuzi kulikuwa na njama ya kumtilia sumu ikiwa angekanyaga nyumbani kwake.
Serikali ilizitaja tuhuma hizo kuwa za “kuudhi”.
Wafuasi wake waliimba “Jenerali amerejea” wakati Khama akiondoka kwenye mahakama siku ya Ijumaa katika mji mkuu, Gaborone
ZINAZOFANANA
Tume.yamtangaza Museven mshindi Urais Uganda
Watu 100 wameuawawa shambulio la kukamatwa Maduro
Kiongozi wa kijeshi Burkina Faso anusuruka kuuawa