Saturday , 27 April 2024

Elimu

Elimu

ElimuTangulizi

Shule za Serikali, wasichana wang’ara matokeo kidato cha sita

  SHULE za Sekondari za Serikali, pamoja na watahiniwa wasichana, wameng’ara katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

ElimuHabari za Siasa

Watakao kwamisha mradi wa kuboresha Elimu Sekondari kukiona

  NAIBU Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Davidi Silinde,amesema kwa uzembe wowote utakaofanyika kwa na kukwamisha mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari...

ElimuHabari za Siasa

Fomu kujiunga shule za umma zieleze hakuna michango: Majaliwa

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuanzia sasa fomu za kujiunga na sghule za umma sharti zipitiwe na makatibu Tawala wa Mikoa na...

Elimu

Wanafunzi Shule ya Peaceland wapongeza elimu bure hadi kidato cha sita

  WANAFUNZI wa shule ya msingi Peaceland English Medium iliyopo Ukerewe Jijini Mwanza wamesema kuwa kitendo cha serikali kupitisha elimu bure kuanzia shule...

ElimuMakala & Uchambuzi

Je, Wamiliki wa kumbi za starehe wanawalenga wanafunzi wa vyuo?

  KUNA usemi usemao “usilolijua ni sawa na usiku wa giza”  na  ndivyo wamiliki wa kumbi za starehe maeneo yaliyo karibu na vyuo...

Elimu

Baada ya kufuta ada, Serikali kupitia miongozo kupunguza michango shuleni

  SERIKALI ya Tanzania, inajipanga kupitia upya miongozo ya kujiunga shule za sekondari na kidato cha tano na sita, ili kupunguza masuala yanayoongeza...

ElimuHabari

CoNAS yajivunia kutoa watafiti wengi wa sayansi asilia nchini

KATIKA kutimiza miaka 60 toka kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ndaki ya Sayansi Asilia na Tumizi inajivunia kutoa wataalum wengi...

ElimuHabari za Siasa

Serikali yatenga Bilioni 8 kwa watoto wa kaya masikini

  SERIKALI imetenga Sh. 8 bilioni kwa ajili ya kuanzisha dirisha maalumu (Special Fund) litakalokuwa linasaidia watoto wanaotoka katika familia masikini. Anaripoti Erasto...

ElimuHabari za SiasaTangulizi

Serikali kufuta ada kidato cha tano, sita

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kusudio la kufuta ada kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita, katika mwaka wa fedha ujao wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Care for Disability inavyorudisha tabasamu kwa wanafunzi wenye ulemavu

  JAMII imetakiwa kuendelea kujitokeza kwa wingi kusaidia kundi la wasichana wenye ulemavu taulo za kike  ili kuwawezesha kujistili kipindi wanapoingia mzunguko wa...

ElimuHabari

Rais Samia afanya mapinduzi ya elimu Tabora, madarasa 74 yajengwa

IMEELEZWA kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imefanya mapinduzi ya elimu kwa mkoa wa Tabora baada ya...

ElimuHabari za Siasa

Mbunge ataka nafuu wanafunzi wanaochanganyikiwa mtihani kidato cha nne

  MBUNGE Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda, ameishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, itumie matokeo ya nyuma ya wanafunzi katika kuamua ufaulu wa...

ElimuHabari

Rais Samia aokoa wanafunzi 271 kutoka ‘zizini’

JUMLA ya Sh milioni 40 zilizotolewa na Serikali kupitia mkopo nafuu wa mapambano dhidi ya Uviko-19 zimeweka historia kwa wanafunzi 271 wa Shule...

Elimu

Serikali yashauriwa kuanzisha mitaala elimu ya anga shule za sekondari

  SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kuanzisha mtaala wa elimu kuhusu usafiri wa anga, kwa shule za sekondari hadi kidato cha sita, ili kutoa...

ElimuHabari

Vijana Igunga wanunua pikipiki, kiwanja kwa fedha za UVIKO-19

VIJANA wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameeleza kufaidika na fedha za mradi wa ujenzi wa madarasa na ofisi za walimu baada ya...

ElimuHabari

Furahika Education yatangaza nafasi 200 elimu ya ufundi bure

CHUO cha Maendeleo ya Ujuzi, Ufundi na Viwanda (Furahika Education) la Jijini Dar es salaam kimetangaza nafasi za masomo ya ufundi bure kwa...

ElimuHabari za Siasa

Prof. Mkumbo ataka maafisa elimu kata wang’olewe kufidia pengo la walimu

  MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameishauri Serikali ifute kada ya maafisa elimu kata, ili kuziba changamoto ya upungufu wa walimu shuleni....

Elimu

Rais Samia awatakia kheri watahiniwa kidato cha sita

  RAIS wa Tanzania ,Samia Suluhu Hassan amewatakia wanafunzi wote wa kidato cha sita kila kheri,katika mitihani yao iliyoanza leo jumatatu tarehe 9...

ElimuHabariTangulizi

Mitihani kidato cha sita, ualimu kuanza kesho

JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani ya kumaliza kidato ya...

ElimuHabariTangulizi

Wabunge wacharuka kiingereza kitumike kufundishia ‘tutapigwa goli’

MJADALA kuhusu lugha gani itumike kufundishia kati ya kiingereza au Kiswahili umeendelea kutikisa baada ya asilimia kubwa ya wabunge kushauri kuwa kiingereza kitumike...

ElimuHabari za Siasa

CWT yakoshwa na utendaji wa Rais Samia

  CHAMA cha walimu Tanzania(CWT) kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na namna inavyowajali watumishi nchini wakiwemo walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Elimu

DIT yatakiwa kujipanga kufunga mfumo wa gesi magari ya serikali, mwendokasi

  NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nishati nchini Tanzania, Kheri Abdul Mahimbali leo ametembelea Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na kupata...

Elimu

DAWASA yaipiga jeki Pugu Sekondari, yatoa ahadi zaidi

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa msaada wa kompyuta mpakato tatu zenye thamani ya zaidi ya...

Elimu

Walioacha masomo zaidi ya 3,000 warejea shule

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema wanafunzi zaidi ya 3,000 walioacha masomo kwasababu mbalimbali, wamerejea masomoni baada ya Serikali yake kutoa muongozo wa...

Elimu

Serikali kuajiri walimu 10,000 upungufu ukiwa 175,701

  WAKATI upungufu wa walimu wa msingi na sekondari nchini ukiwa ni 175,701, Serikali imeomba kibali cha kuajiri walimu 10,000 pekee, 5,000 kati...

Elimu

Shule za msingi zakabiliwa upungufu walimu 100,958

  SHULE za Msingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa walimu 100,958 kwa kuangalia uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 60. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Elimu

Idadi uandikishaji wanafunzi MEMKWA yapungua

  SERIKALI imesema uandikishaji wa wanafunzi wa Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Walioikosa (MEMKWA) umepungua kutoka 50,192 mwaka 2021 hadi 12,421 mwaka...

Elimu

Shule za msingi zakabiliwa upungufu walimu 100,958

  SHULE za Msingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa walimu 100,958 kwa kuangalia uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 60. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Elimu

Profesa Mkenda awapa somo wadhibiti ubora wa elimu

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Adlof Mkenda amewataka wadhibiti ubora wa elimu nchini kutumia vifaa vya kisasa kuboresha...

Elimu

Milioni 160 zajenga shule pekee ya ghorofa Mbeya

JUMLA ya Sh milioni 160 zimekamilisha ujenzi madarasa nane ya shule ya sekondari Ihanga na kumaliza adha ya mrundikano wa wanafunzi katika darasa...

Elimu

Rais Samia awafuta machozi wanafunzi wenye mahitaji maalumu Songea

JUMLA ya wanafunzi 16 wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Subira iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan...

Elimu

Mfumo wa elimu Tanzania kufumuliwa

  SERIKALI ya Tanzania imeanza mchakato wa kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya sekta ya elimu ikiwemo kuipitia upya Sera ya Elimu ya mwaka...

Elimu

Wazazi, wanafunzi Sekondari Chief Kidulile wamshukuru Rais Samia ujenzi wa madarasa

WAZAZI na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chief Kidulile wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi na ukarabati wa madarasa katika shule hiyo...

Elimu

Serikali yatoa muongozo waliokimbia shule kurejea

SERIKALI ya Tanzania, imetoa muongozo na utaratibu wa wanafunzi walioacha masomo kwa sababu mbalimbali, kurudi shuleni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

ElimuHabari Mchanganyiko

NIT inavyohamasisha wanawake kusoma Sayansi

IKIWA imebaki siku moja Dunia kuadhimisha siku ya wanawake duniani kesho Jumanne 8 Machi 2022, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimetoa hamasa...

ElimuHabari za Siasa

Rais Samia ala kiapo elimu watoto wenye mahitaji maalumu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake haitakubali mtoto wa Kitanzania akose fursa ya elimu kwa sababu ya kuwa na...

Elimu

Dar es Salaam kujenga sekondari za ghorofa 20

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema wanatarajia kujenga shule za sekondari za ghorofa 20, ili kutekeleza agizo la Rais...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wazazi, walimu wapania kufuta ‘ziro’ Sekondari Makole

WAZAZI na walezi wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Makole ambao wapo kidato cha pili na cha nne kwa pamoja wamekubaliana kushirikiana...

Elimu

TEA yakabidhi kompyuta 120 shule za Temeke

  MAMLAKA ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na asasi ya BRAC-Maendeleo wametoa kompyuta 120 zenye thamani ya Sh milioni 132 kwa shule tatu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujenzi wa VETA wagusa maisha ya vibarua Mkinga

WANANCHI wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wameeleza kufaidika na miradi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ambayo inajenga...

Elimu

Serikali kujenga madarasa 12,000 mwaka 2022/2023

  Serikali kupitia mradi wa BOOST utakaotekelezwa katika Shule za Msingi inatarajiwa kujenga madarasa 12,000 katika mwaka wa fedha 2022/2023. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Elimu

Prof. Mkumbo achochea ufaulu wa hisabati Ubungo, Waziri Mkenda atoa tuzo

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amekabidhi tuzo kwa Walimu ambao wanafunzi wao wamefanya vizuri katika somo la Hisabati...

Elimu

Rais Samia atangaza kuajiri walimu wapya 7000

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema baada ya ujenzi wa miundombinu ya elimu, kutoa vifaa vya kusomeshea, kujenga mazingira ya usomeshaji, ujenzi wa...

Elimu

Mwanafunzi amwaga machozi akizungumza na Rais Samia kwa simu ‘live’

  Mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Skondari Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dar es Salaam, Emmanuel Mzena amemwaga machozi baada ya...

Elimu

Majaliwa ajiapiza kwa Rais Samia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema wasaidizi wote wa Rais Samia Suluhu Hassan wamejipanga kuhakikisha wanamsaidia kwa weledi wote, uaminifu ili...

Elimu

ANGUKO SOMO LA HISABATI; Serikali, wazazi wanasikitika, nani achukue hatua?

Kwa zaidi ya miaka kumi sasa somo la hisabati limekua changamoto kwa Taifa hususani kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari kwani...

Elimu

Wizara ya Elimu Tanzania yatoa maagizo watoto wenye mahiyaji maalum

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imewataka maafisa elimu maalum wa halmashauri kushirikiana na maafisa elimu kata na jamii ili...

Elimu

St. Francis Girls haishikiki, yaongoza kidato cha nne, kidato cha pili

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na upimaji wa kidato cha pili ambayo kwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi milioni 1.3 wafaulu kuendelea darasa la tano, hisabati donda ndugu

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa jumla ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi, shule 10 bora kitaifa Upimaji Darasa la Nne (SFNA) – 2021, hizi hapa…

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa mwanafunzi bora...

error: Content is protected !!