Saturday , 30 September 2023

Biashara

Biashara

Biashara

Rais Samia apongeza mchango wa NMB kwenye Kilimo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hasaan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Misitu, sambamba...

Biashara

Rais Samia avutiwa bima ya kilimo ya NBC, awaomba wakulima kuchangamkia fursa

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaja huduma ya bima ya kilimo inayotolewa na benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kama mmoja ya suluhisho muhimu...

Biashara

NMB, AGRICOM waita wakulima kuchangamkia mikopo, zana za kilimo

BENKI ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa sekta ya kilimo,...

Biashara

STANBIC, AGRICOM kuanza kutoa mikopo ya zana za kilimo kwa wakulima

BENKI ya Stanbic Tanzania (SBT), kwa kushirikiana na kampuni ya AgriCom Africa (AA), inatarajia kuanzia kutoa mikopo ya zana za kilimo kwa wakulima...

Biashara

RC Mbeya azindua NMB Onja Unogewe Nyanda za Juu, “ni ubunifu wa kipekee”

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB chini ya mwamvuli wa Teleza...

Biashara

STAMICO yang’ara Afrika, yanyakua tuzo kampuni bora madini 2023

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limenyakua tuzo ya Kampuni bora ya mwaka Afrika kwenye sekta ya madini 2023 katika tuzo za Africa...

Biashara

Majaliwa apongeza jitihada za NBC utoaji mikopo zana za kilimo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuendelea kubuni huduma zinazolenga kutatua changamoto zinazowagusa wakulima huku akionyesha kuguswa zaidi...

Biashara

Maabara ya SML yaalika wadau kutumia huduma zake

WADAU wa madini nchini wakiwemo watafiti, wachimbaji wadogo wa madini, kampuni za uchimbaji  wa kati na mkubwa wa madini wameshauriwa kutumia maabara ya ...

Biashara

Waagizaji mafuta: Bila dola tutashindwa kuagiza mafuta

KATIKA kuendelea kuhakikisha bidhaa ya mafuta ya petroli inapatikana kwa uhakika maeneo yote nchini, Chama cha Waagizaji na Wasambazaji Mafuta Tanzania (TAOMAC) wamekutana...

Biashara

Mabilioni ya NMB kusapoti BBT, riba asilimia 9 vyamvutia Majaliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameipongeza Benki ya NMB kwa kutenga mabilioni ya fedha za mikopo katika kipindi cha miaka miwili kuunga...

BiasharaTangulizi

Wafanyabiashara waitwa Bandari ya Dar es Salaam

  WAFANYABIASHARA wametakiwa kutumia Bandari ya Dar es Salaam, kusafirisha mizigo yao badala ya kutumia bandari za mbali, ili kuokoa muda na gharama....

Biashara

Mv. Mirembe yazindua huduma mpya usafirishaji majini

  KAMPUNI ya Usafirishaji majini, PMM Shipping Limited imezindua huduma ya kusafirisha makontena kutoka Bandari ya Dar es Salaam, kwenda maeneo mengine ikiwemo...

Biashara

Dk. Mpango aipongeza NBC utoaji elimu ya fedha, mikopo kwa wakulima

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kutumia vema Maonesho ya Kilimo ya NaneNane yanayoendelea jijini...

Biashara

NMB yatenga bilioni 20 BBT, yamwaga mikopo kwa wakulima

KATIKA kuuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT), Benki ya NMB imetenga jumla...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yashinda tuzo 3 za Kimataifa, yatajwa benki bora Tanzania 2023

  BENKI ya NMB imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni Benki Bora Tanzania 2023, benki bora ya wateja maalum kutoka...

Biashara

Infinix Note 30 yajizolea sifa kimataifa mwaka 2023

  CHAPA ya simu mahiri inayoongoza kwa ubora  Infinix Mobile LTD imegonga vichwa vya habari wiki hii baada ya Infinix NOTE 30 kushinda...

Biashara

Wakulima watakiwa kufuata ushauri wa maofisa ugani

MHASIBU wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula ya alizeti – Malaika Sunflower Oil, Ester Lumambo amewashauri wakulima wa mazao ya alizeti nchini...

Biashara

EASTL yatambulisha bia mpya ‘GOLDBERG na HANSON’S LITE’

Kampuni ya Uzalishaji Vinywaji Vikali ya East African Spirits (T) Limited (EASTL) Shinyanga inayotengeneza vinywaji vya Diamond Rock na Hanson’s Choice imetambulisha rasmi...

BiasharaTangulizi

Marufuku nguo za mitumba yazua kizaazaa, wafanyabiashara wachachamaa

WAFANYABIASHARA pamoja na watuaji wa nguo za mitumba nchini Kenya, wameitaka serikali nchi hiyo kusitisha mpango wake wa kupiga marufuku wa uingizwaji wa...

Biashara

Vodacom kinara wa teknolojia miongoni mwa makampuni ya Vodacom Afrika 

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania Plc imepata tuzo ya kuwa  kinara wa teknolojia miongoni mwa makampuni ya Vodacom yaliyoko Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Biashara

2075 Waafrika kushika theluthi moja ya ajira

BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....

Biashara

2075 Waafrika kushika theluthi moja ya ajira

BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....

Biashara

NBC yasaini mkataba na Wizara ya Elimu kusaidia elimu ya ufundi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini mkataba wa makubaliano na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknalojia kwa ajili ya kutoa ufadhili wa...

Biashara

RC Senyamule: NMB imetutua mzigo sekta ya afya, elimu

MKUU wa mkoa wa Dodoma (RC), Rosemary Senyamule ameitaja benki ya NMB kama mwarobaini uliowafuta machozi wananchi katika mkoa wake kwenye idara za...

Biashara

Tume ya madini yatoa siku 7 wamiliki leseni kutekeleza masharti

TUME ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo,...

Biashara

DC Momba ajitosa mkataba bandari, aeleza Tunduma itakavyofaidika

MKUU wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe, Faki Lulandala amejitosa katika sakata la mjadala kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye bandari ya Dar es...

Biashara

SBL yaja na kampeni ya ‘Jibambe Kibabe’

  KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake kubwa ya kitaifa ‘Jibambe Kibabe’ inayolenga kuchochea uwezeshaji kiuchumi katika mfumo wake mzima...

Biashara

‘Team Wazalendo’ waukingia kifua uwekezaji wa DP World

UMOJA wa Vijana wa unaojitanabaisha kwa jina la ‘Team Wazalendo’ umesema kuwa utachukua jukumu la kuuelimisha umma juu ya umuhimu wa uwekezaji katika...

Biashara

Vodacom yashinda tunzo ya  banda la utoaji huduma bora kwa makapuni ya simu

KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imeshinda tuzo ya  banda bora la utoaji huduma kwa kundi la makampuni ya Simu wakati wa kuhitimisha Maonyesho ya...

Biashara

NBC yawezesha mkopo wa bilioni 470 Zanzibar

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza kukamilika kwa taratibu ambazo zimewezesha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupata mkopo wa Dola za Marekani...

Biashara

Leseni uchimbaji madini ya ‘rare earth’ yatambulishwa rasmi, ajira 3000 zaja

WANANCHI wa Wilaya ya Songwe wametambulishwa uwepo wa leseni ya uchimbaji mkubwa wa madini ya Rare Earth Elements yanayotumika katika teknolojia ya kisasa....

BiasharaMichezo

NMB, Simba SC. waja na ‘Ukaribu wa Nguvu’ kusajili wanachama, jezi kuzinduliwa kileleni mwa Kilimanjaro

BENKI ya NMB na Klabu ya Simba, zimezindua ushirikiano wa kibiashara uliopewa jina la ‘Ukaribu wa Nguvu,’ kwa lengo la kuongeza ufanisi katika...

Biashara

Kilombero walilia miundombinu kilimo cha umwagiliaji

CHAMA  Cha Mapinduzi  (CCM)  Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, kimeiomba serikali kujenga miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa ajili ya kukuza uzalishaji wa...

Biashara

Vodacom yatoa tuzo ikitimiza miaka 11 bila vifo kazini ikitumia ubunifu

KAMPUNI ya Teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC imewapongeza kwa kuwapatia tuzo mbalimbali washirika na watoa huduma wake kwa kuzingatia viwango vya usalama...

Biashara

NICOL yapeleka neema kwa wanahisa wake sabasaba

KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL, imeendelea kufanya vizuri sokoni kwa kupata ongezeko ya faida ya shilingili bilioni 6.2 mwaka huu kulinganisha na faida...

Biashara

Mradi wa maegesho ya malori wazidi kuipaisha Tunduma

HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetumia kiasi cha Sh 1.7 bilioni kujenga mradi huo wa maegesho ya malori ili kukabiliana...

BiasharaMichezo

NMB kuanza kusajili wanachama Yanga Julai 10

BENKI ya NMB kupitia matawi yake yote nchini inatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu tarahe 10 Julai 2023, kusajili na kutoa kadi za uanachama wa...

Biashara

Washindi 22 promosheni NMB “Bonge la Mpango”, wabeba zawadi zao  

JUMLA ya washindi 22 wa Kampeni ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB ‘Bonge la Mpango’ wamekabidhiwa zawadi zao jijini Dar...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

  BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti...

Biashara

Vodacom yazindua kampeni ya ‘Biashara Pamoja, Tuamini Sisi’, katika maonyesho ya Sabasaba

  KATIKA kutekeleza adhma yake ya kutumia ubunifu wa kidigitali kuongeza ufanisi kwenye shughuli mbali mbali ikiwemo zile za kibiashara, kampuni ya mawasiliano...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Biashara

TASAF yafaidisha kaya 160 Kondoa

KATIKA mwaka wa fedha wa 2021/23 jumla ya fedha kiasi cha Sh 102  milioni zimewanufaisha wakazi wa Kijiji cha Itundwi kata ya Mnina...

Biashara

Kampuni, taasisi Arusha zakoshwa na huduma ya NBC Connect

TAASISI na kampuni wateja za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mramba atembelea banda la GGML sabasaba, akoshwa na miradi, rekodi za kampuni hiyo

KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

Biashara

‘Bonge la Mpango’ ya NMB yafikia tamati, wateja wajishindia zawadi nono

KAMPENI ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB iliyopewa jina la ‘Bonge la Mpango’ Msimu wa Tatu imefikia kilele tarehe 5...

Biashara

Kampuni 5,000 zashiriki sabasaba

  KAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam DITF)...

Biashara

Tawi la 229 la NMB lazinduliwa Buhigwe, Dk Mpango asema…

MTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango kuzindua Tawi la...

Biashara

Wafanyabiashara wamuanguakia Samia wasiondolewe Bandari kavu Jimbiza

WAFANYABIASHARA katika Bandari Kavu ya Jimbiza, iliyoko Kilwa Masoko, mkoani Lindi, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan wakiitaka iingilie kati ili wasiondolewe...

BiasharaElimu

Teknolojia ya kidigitali kuleta mapinduzi ya elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara   

TEKNOLOJIA za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana wa...

error: Content is protected !!