TUME ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura 7,946,772 ambayo ni asilimia 71.65% ya kura zote zilozopigwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Uganda … (endelea).
Mpinzani wake wa karibu Robert Ssentamu Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine alikuwa wa pili, akiwa na jumla ya kura 2,741,238 au asilimia 24.72%.
Kwa mujibu wa tume hiyo, kura 11,366,201 zilipigwa katika uchaguzi huu wa mwaka 2026, ikiashiria asilimia 52.50% ya idadi ya wapiga kura waliojitokeza kushiriki.
Hata hivyo, kura 275,353 (2.42%) zilizopigwa zilikuwa batili.
Matokeo ya uchaguzi
Museveni 7,946,772 (71.65%)
Bobi Wine 2,741,238 (24.72%)
Bulira Frank 45,959 (0.41%)
Skip Iliyosomwa zaidi and continue reading Iliyosomwa zaidi Museveni
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
Mwanamke
Sababu tatu za kutokwa na damu kwenye kinyesi
Kwa nini kuna maandamano Iran na Trump amesema Marekani itafanya nini?
Bobi Wine
Matokeo ya uchaguzi Uganda 2026: Bobi Wine yuko wapi?
End of Iliyosomwa zaidi
Kasibante Robert 33,440 (0.30%)
Joseph Mabirizi 23,458 (0.21%)
Mugisha Muntu 59,276 (0.53%)
Mubarak Munyagwa 31,666 (0.29%)
Nandala Mafabi 209,039 (1.88%)
Ushindi wa Museveni unamaanisha kwamba ataongeza muda wake wa miaka 40 madarakani kwa miaka mingine mitano.
Awali, mpinzani wake wa karibu Bobi Wine alikataa matokeo hayo, akiwataka raia wa Uganda kushiriki maandamano yasiyo ya vurugu.
Museveni, mwenye umri wa miaka 81, aliingia madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 1986 kama kiongozi wa waasi lakini tangu wakati huo ameshinda chaguzi
ZINAZOFANANA
Meridianbet yazidi kuzingatia ustawi wa Afya ya Mama na Mtoto
Kesi ya uhaini ya Lissu kusikilizwa siku 26 mfululizo
Mvutano wa kisheria wagubika Mahkama ya Z’bar