WANACHAMA wa klabu ya Simba wamebaki kwenye sintofahamu kufuatia mwenyekiti wa klabu hiyo Murtaza Mangungu kufunga mkutano kiholela. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Mkutano huo wa mwaka wa wanachama ulianza majira majira saa tatu asubuhi na kumalizika majira saa 6 uliofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee.
Malalamiko ya wanachama hao yamekuja kufuatia kutopatiwa nafasi ya kuchangia na kupitisha kwenye baadhi ya ajenda zilizowasilishwa kwenye mkutano huo ikiweno ya marekebisho ya katiba.
Hali hiyo imewafanya wanachama hao kwa wingi wao ukumbini ambao walikaa kwa mafungu mafungu kutaka mweyekiti wa klabu hiyo kujiudhuru kwa kuwa wanaamini matatizo mengi ya klabu hiyo chanzo ni yeye.
ZINAZOFANANA
Suka jamvi na mechi za AFCON leo
Serikali iko tayari kusikiliza, ili kulinda umoja – Simbachawene
ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1,000 yapo hapa