MWALIMUwa siasa za upinzani Afrika Mashariki, Raila Odinga, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …( endelea).
Odinga amefariki dunia akiwa kwenye matibabu nchini India.
Pumzika kwa amani, baba! Taarifa zaidi zitakuja baadaye.
MWALIMUwa siasa za upinzani Afrika Mashariki, Raila Odinga, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …( endelea).
Odinga amefariki dunia akiwa kwenye matibabu nchini India.
Pumzika kwa amani, baba! Taarifa zaidi zitakuja baadaye.
ZINAZOFANANA
Samia atuma salamu za pole kwa Jaji Mallaba
Serikali iko tayari kusikiliza, ili kulinda umoja – Simbachawene
SADC watua nchini kushughulikia mgogoro wa kisiasa