Luhaga Mpina, Mgombea Urais wa ACT Wazalendo
Luhaga Mpina, Mgombea Urais wa ACT Wazalendo
MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amemuondoa Luhaga Joelson Mpina, kwenye kinyang’anyiro cha kuwania urais, kupitia ACT-Wazalendo. Taarifa zaidi, soma gazeti la MwanaHALISI Alhamisi hii.
ZINAZOFANANA
TMA yatangaza mvua kubwa zitakuja, mikoa 14 kuathirika
Dk. Mohamed aendeleza mageuzi katika jamii ya Mtambwe
Maaskofu Kanisa Katoliki wazidi kucharuka