June 19, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

HESLB yafungua dorisha la maombi ya mikopo

 

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB), imetangaza kufungua dirisha la maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Anaripoti Joyce Ndeki, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 19 Juni 2025, na Bill Kiwia, Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo na kusema imetenga Sh. 916.7 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025 2026.

Fedha hizo zitawanufaisha jumla ya wanafunzi 99,620 wa mwaka wa kwanza katika ngazi ya za diploma, shahada ya kwanza na shahada za uzamili.

Pia amesema wanafunzi 88000 wa shahada ya kwanza watapangiwa mikopo hiyo.

About The Author

error: Content is protected !!