KAMPUNI ya Mawasiliano ya simu ya Vodacom imezindua duka jipya la huduma kwa wateja kata ya Nungwi, mkoa wa Kaskazini A, ikiwa ni hatua muhimu ya kutoa huduma bora za mawasiliano na bidhaa za kisasa kwa wakazi wa eneo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).
Duka hilo lilizinduliwa rasmi na Katibu Tawala wa mkoa wa Kaskazini A, Mariam Khamis, akishuhudiwa na mdau wa Vodacom Saleh Judas na Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni hiyo Brigita Shirima. Uzinduzi ni hatua mojawapo ya Vodacom kupanua huduma zake visiwani humo ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi.




ZINAZOFANANA
Ramadhani ya furaha kwa wote, Meridianbet yawakumbuka wakazi wa Dar es Salaam
Airtel Tanzania yazindua maduka 17 ya Smart Shops Dar, kukuza huduma za kidijitali
Ripoti ya Kerry ya Taste Charts 2026 yaonyesha ladha za tangawizi, ukwaju na mango chilli kinara mabadiliko ya ladha Afrika