BENKI ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).
Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Soraga.


ZINAZOFANANA
Sunil Bharti Mittal atunukiwa tuzo ya maisha ya GSMA kwa mageuzi ya sekta ya mawasiliano duniani
Furahia michezo na kasino kwenye Meridianbet Sports Portal leo
Aviator inakupa kubwa kuliko, ushindi wako unakupa Samsung Galaxy A26