
BENKI ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).
Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Soraga.
ZINAZOFANANA
Julai 11 Mahakama kuamua mapingamizi ya Serikali kesi Lissu
Pata Simu Mpya ya Samsung A25 kwa kucheza Super Heli kutoka Meridianbet
SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 14,000 Kwadelo, Kondoa