
BENKI ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).
Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Soraga.
ZINAZOFANANA
Meridian Bonanza yazua vuguvugu jipya ndani Ya Meridianbet
Fungua milango ya ushindi mkubwa na Meridianbet Mission
NBC yakutana na wateja wakubwa Kanda ya Ziwa, yaelezea dhamira ya ke kwa wadau wa madini, kilimo na uvuvi