Serengeti Oktoberfest imerudi tena kwa kishindo! Mwaka jana, Supastaa Diamond Platnumz aka Chibu Dangote aliwaimbisha zaidi ya wauhudhuriaji 10,000 Kenya na kunogesha experience nzima ya burudani, bia na mizuka.
Mwaka huu, inasemekana anarudi tena kukinukisha kwenye steji hii kubwa Afrika Mashariki. Je, tutegemee kumuona tena akiangusha steji ndani ya Kenya, Uganda au nyumbani kwao Tanzania?
Mambo yanazidi kuwa mambo kwenye steji hii ya kipekee ya burudani. Endelea kutufuatilia kufahamu mwaka huu nini kitatokea #SerengetiOktobaFest2024 #DiamondPlatnumz #ThisIsHowWeDo
ZINAZOFANANA
SBL yazindua rasmi Serengeti Premium Apple, kinywaji cha Kitanzania
Vaso Psycho kukupa nafasi ya mbinu zako kukutana na bahati
Raoma, Vodacom wazindua mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani