
Mkuu wa Kitengo cha Hazina na Masoko ya Dunia wa benki ya Exim Tanzania, Nelson Kishanda akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 katika tawi la benki hiyo la Samora Avenue. Kushoto kwake ni Frank Matoro, Meneja Mkuu wa Huduma za Wateja.


Wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania wakifanya matembezi ya amani wakati wa kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 ambapo walitembea kutoka Makao Makuu ya benki hiyo, Exim Tower mpaka tawi lake la Samora Avenue jijini Dar es Salaam mnamo tarehe 5 Oktoba 2024.
ZINAZOFANANA
Vaso Psycho kukupa nafasi ya mbinu zako kukutana na bahati
Non-Stop Win&Go Drop inakupa bahati kwa kila dakika ndani ya Meridianbet
Airtel imefanya droo ya gari ya kila mwezi na kukabidhi TV 7 kwa Washindi wa Mwaka umenyooka na MyAirtel App