
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni Meneja mahusiano ya serikali wa SBL, Neema Temba.
ZINAZOFANANA
LOOT Legends 2025: cheza sasa, shinda pesa taslimu na Meridianbet
Cheza Aviator, shinda Samsung A25 Mpya kila wiki
USSD imekuja na zawadi kabambe leo