
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni Meneja mahusiano ya serikali wa SBL, Neema Temba.
ZINAZOFANANA
Jisajili, weka amana na cheza, shinda Samsung A25 mpya kabisa
Exim yakabidhi madarasa kwa shule mbili za Sekondari Kigoma
Mchezo bora wa kuzungusha gurudumu la namba American Roulette