
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni Meneja mahusiano ya serikali wa SBL, Neema Temba.

ZINAZOFANANA
Halloween yaja na mchezo mpya wa kusisimua, Trick or Treat Bonanza ya Meridianbet
Kila sekunde ina thamani na Meridianbet
Meridianbet yaendelea kuwekeza kwa jamii kupitia MRC Rehabilitation Centre