Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni Meneja mahusiano ya serikali wa SBL, Neema Temba.
ZINAZOFANANA
Cheza mchezo wa kasino Sweet Bonanza 1,000 Ushinde x25,000 ya dau lako
Siku mbili zimebaki milioni moja itoke kupitia shindano la Expanse
Shindano la Expanse Kasino ndio habari ya mjini kwa sasa