
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni Meneja mahusiano ya serikali wa SBL, Neema Temba.
ZINAZOFANANA
Festival Malta 2025 inawaita, ni kwa Qualifiers wa Meridianbet
Hadithi ya Mabingwa: Chelsea na Safari ya kutwaa Ubingwa wa Dunia
Buku moja tu, yamfanya Derick kuwa bingwa