March 12, 2026

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Rais wa FA ya Congo afungwa maisha jela

Jean-Guy Blaise Mayolas

 

RAIS wa Chama cha Soka cha Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville – FECAFOOT) amefungwa maisha baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa dola za Kimarekani 1.3 milioni zilizotolewa na FIFA. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Wengine waliokumbwa na kifungo hicho kikali ni mkewe na mtoto wake.

Fedha zilizomtokea puani Jean-Guy Blaise Mayolas, mmoja wa vigogo wa soka katika ukanda wa Afrika ya Kati zilitolewa na FIFA kwa ajili ya maendeleo ya soka ya wanawake na ujenzi wa kituo cha mafunzo.

About The Author

error: Content is protected !!