April 23, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

 

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkunguni Kariakoo Jijini Dar es Salaam muda huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Heche amekamatwa na Polisi baada ya jeshi hilo hilo Wilaya ya Kariakoo kukiandikia barua ya chama hicho kuzuia mkutano huo.

Barua hiyo iliyowataka Chadema kutofanya mkutano huo uliopangwa kufanyika katika mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni kwa sababu ya shughuli za biashara zinazoendelea eneo hilo.

About The Author

error: Content is protected !!