
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei ya ukomo ya mafuta kuanzia leo, tarehe 5 Februari 2025, kwa rejareja katika jiji la Dar es Salaam zimeongezeka kama ifuatavyo:
• Petroli imepanda kwa asilimia 0.96% kutoka Sh2,793 hadi Sh2,820 kwa lita.
• Dizeli imeongezeka kwa asilimia 2.18%, kutoka Sh2,644 hadi Sh2,703 kwa lita.
• Mafuta ya taa yameongezeka kwa asilimia 1.25%, kutoka Sh2,676 hadi Sh2,710 kwa lita.
Ongezeko hili linatarajiwa kuathiri gharama za usafiri na shughuli nyingine zinazotegemea nishati hii.
ZINAZOFANANA
Chadema: Tundu Lissu yupo gerezani Ukonga
Serikali yajivunia mafanikio sita ya TASAF
Dk. Kimei aweka rekodi ya utendaji Vunjo